MWAKA WA TABU TENA! SURA ZA VIONGOZI WA SIMBA ZINATIA HURUMA...


Unaweza kusema, mwaka wa tabu unanukia tena! Simba imecheza misimu mitatu bila ya kucheza michuano ya kimataifa.

Msimu huu, tayari imejihakikishia kukosa michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kutolewa kwenye michuano ya Shirikisho nchini kwa kufungwa kwa mabao 2-1 dhidi ya kibonde Coastal Union.

Wakati Simba inalala kwa mabao 2-1, Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, walikuwa jukwaa kuu, hakika wanatia huruma.

Walionekana kama watu wasioamini kinachotokea, lakini hiyo ndiyo hali halisi.


Nguvu ya Simba, sasa ni kwenye Ligi Kuu Bara ambako wanakimbizana na Azam FC na Yanga. Presha.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.