NHIF yatoa Saruji tani tatu Kilangalala


????????????????????????????????????
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Rehani Athumani akiwasalimia wanafunzi wa shule ya Sekondari Kilangalala Mkoani Pwani.
????????????????????????????????????
Msaada wa Saruji tani tatu ukikabidhiwa kwa shule hiyo kwa lengo la kusaidia ujenzi wa uzio
????????????????????????????????????
Ofisa Masoko na Elimu kwa Umma Grace Michael akigawa vipeperushi vyenye ujumbe wa huduma ya Toto Afya Kadi kwa wanafunzi hao.
????????????????????????????????????
Mkuu wa Shule hiyo Mwalimu Albert Mabiki akizungumza na uongozi wa NHIF ulipokuwa ofisini kwake.
????????????????????????????????????
Shehena ya saruji iliyotolewa na Mfuko kwa ajili ya shule hiyo.
????????????????????????????????????
Wanafunzi wakisikiliza kwa makini elimu ya huduma za NHIF
????????????????????????????????????Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Rehani Athumani akiwahamasisha wanafunzi hao kusoma kwa bidii.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*