NIYONZIMA NDANI YA NYUMBA, AONGEZA NGUVU SAFU YA KIUNGO YANGA



Kiungo nyota wa Yanga, Haruna Niyonzima aliyekuwa akisumbuliwa na malaria, sasa yuko safi.

Angalia mwenyewe picha ya kwanza mara baada ya Niyonzima kurejea na sasa anajifua na wenzake.


Kurejea kwake, kutaongeza nguvu katika safu ya kiungo ya Yanga inayotakiwa kucheza mechi mfululizo zikiwemo za Ligi Kuu Bara na ile ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*