President John Pombe Magufuli wa Tanzania alikwenda kwenye nchi ya Rwanda kwa ziara ya siku mbili kuanzia April 6 2016 ambapo alimaliza ziara yake na kurudi nyumbani Tanzania April 7 2016, kwenye hii video hapa chini inamuonyesha alivyotua kwenye uwanja wa ndege Dar es salaam kwa ndege ya Rais ambayo ilimfata Rwanda alikokwenda kwa gari akitokea Chato Geita.
President John Pombe Magufuli wa Tanzania alikwenda kwenye nchi ya Rwanda kwa ziara ya siku mbili kuanzia April 6 2016 ambapo alimaliza ziara yake na kurudi nyumbani Tanzania April 7 2016, kwenye hii video hapa chini inamuonyesha alivyotua kwenye uwanja wa ndege Dar es salaam kwa ndege ya Rais ambayo ilimfata Rwanda alikokwenda kwa gari akitokea Chato Geita.
Comments