WAZIRI UMMY MWALIMU AONGOZA KUPIMA MALARIA SIKU YA MALARIA DUNIANI

 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu  akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma leo maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA)
 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akiogopa kuchomwa sindano alipokuwa akichukuliwa damu na Mteknolojia wa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma, Habiba Malima tayari kupimwa vimelea vya ugonjwa malaria, Bungeni Dodoma leo, baada ya kuzungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani.
Waandshi wa habari wakiwa wamejipanga tayari kupimwa malaria, ambapo kwa dakika 20 unapata majibu

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.