YANGA NA AL AHLY LIVE KESHO AZAM TV


YANGA imeiuzia Azam TV haki za kurusha mechi ya kwanza ya hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri kesho Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Maana yake kesho Watanzania wote wataushuhudia mchezo huo kupitia Televisheni nchini.
Azam TV wamefanikiwa kupata haki hizo baada ya kuwapiku Al Ahly ambao pia walikuwa wanataka haki za kurusha mechi hiyo.
Mapema jana Yanga iliwagoma Al Ahly kurusha matangazo ya mechi hiyo.
Yanga watakuwa wenyeji wa Ahly kesho Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika na Ahly walitaka wachukue matangazo kwa ajili ya kurusha Misri tu.
Hata hivyo, leo uongozi wa Ahly umethibitisha rasmi kwamba umenyimwa haki hiyo na utaonyesha mechi hiyo kupitia mitandao tu.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.