SIMU.tv: Waziri mkuu Kasim Majaliwa amesema mkutano wa kimataifa uliojadili tatizo la rushwa duniani ni kiashiria kwamba rushwa ni janga la kimataifa na linataka juhudi za pamoja kupambana nalo. https://youtu.be/NmoPPurrmNA
SIMU.tv: Baraza la madiwani katika halmashauri ya Gairo wamesusia kikao cha kujadili na kupitisha bajeti ya halmashauri hiyo kwa madai ya kutokuwa na imani na mkurugenzi wa halmashauri ya Gairo. https://youtu.be/fcR1xNbBfdA
SIMU.tv: Mkurugenzi wa mfuko wa uwezeshaji wa taifa Edwin Chrisant amewatahadharisha wajasiriamali wote watakaopatiwa fedha za mkopo zitakazotolewa na rais Dr John Pombe Magufuli kuzifanyia kazi iliokusudiwa ili kuinua pato lao. https://youtu.be/5DG_wz9W5uo
SIMU.tv: Serikali imelipongeza baraza kuu la waislamu kupitia taasisi zake za elimu kwa kutoa mchango mkubwa wa walimu ambao wanasadia katika sekta ya elimu nchini. https://youtu.be/qHr5sABdLtE
SIMU.tv: Hatimaye mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga wamekabidhiwa kombe lao baada ya mchezo wake dhidi ya Ndanda Fc ya Mtwara ambapo walitoshana nguvu kwa kufungana mabao mawili kwa mawili.https://youtu.be/H4TKNRrET5Q
SIMU.tv: Baadhi ya wanafunzi wilayani sengerema mkoani Mwanza wanalazimika kukaa chini kwa kukosa madawati katika baadhi ya shule wilayani humo; https://youtu.be/ZzhMb8kI_rU
SIMU.tv: Wafanyabiashara wa mbao manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wajitolea mbao 350 kw a manispaa hiyo baada ya kuona watoto wao wanakaa chini kwa kukosa madawati; https://youtu.be/d711hM5YdNE
SIMU.tv: Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es salaam wametoa shukrani zao kwa serikali kwa kuanzisha usafiri wa mabasi yaendayo kasi baada ya kurahisha shuguhuli zao mbalimbali jijini hapo; https://youtu.be/3rnPpImY2VE
SIMU.tv: Baadhi ya madereva wanaoendesha mabasi ya umma jijini Dar es salaam wapongeza matumizi ya Daraja la Nyerere Kigamboni huku wakiomba serikali kuweka malipo ya awamu ili kuwarahisishia shughuli zao;https://youtu.be/WfZGeZ1rTdo
SIMU.tv: Rais mstaafu wa awamu ya pili Mh Alli Hassan Mwinyi amesema jukumu la kuwalea na kuwatunza wazee ni la kila mmoja wetu hivyo kila mmoja kwa nafasia anapaswa kuwahudumia wasiojiweza; https://youtu.be/r12sk3EadR8
SIMU.tv: Bondia Mtanzania Thomas Mashali amefanikiwa kumtwanga bondia kutoka nchini Iran kwa pointi na kufanikiwa kunyakua ubingwa wa dunia wa UBO; https://youtu.be/3hOuu8bVrzw
SIMU.tv: Timu ya soka ya Yanga imekabidhiwa kikombe chake hapo jana katika mchezo wao na Ndanda baada ya kutoka kwa sare ya mabao 2 kwa 2; https://youtu.be/ua811XOJJvY
SIMU.tv: Timu ya kikapu Oilers ya Dar es salaam yaifunga timu ya Young Warriors kutoka Morogoro na kujiweka katika nafasi nzuri ya kunyakua kikombe; https://youtu.be/AIUqxxw_xFU
Preview YouTube video Waziri Mkuu Akiri Rushwa Kuwa Janga La Kimataifa
Preview YouTube video Madiwani Wasusia Kikao Cha Bajeti Gairo
Preview YouTube video Wajasiriamali Wapatiwa Elimu Ya Mikopo
Preview YouTube video Serikali Yaipongeza BAKWATA
Preview YouTube video Yanga Yakabidhiwa Kombe
Preview YouTube video Ukosefu wa Madawati Bado Kilio Sengerema
Preview YouTube video Wauza Mbao Songea Wachangia Madawati
Preview YouTube video Wakazi wa Jiji la Dar Wafurahishwa na Mabasi Yaendayo Kasi
Preview YouTube video Daladala Waomba Mfumo Wao wa Malipo Daraja la Nyerere
Preview YouTube video Mwinyi Awataka Watanzania Kuwatunza Wazee
Preview YouTube video Thomas Mashali Amtwanga Muiran Kwa Point
Preview YouTube video Yanga Yakabidhiwa Mwali Wake
Preview YouTube video Oilers Waichapa Young Warriors Ligi ya Kikapu
Comments