SIMU.TV: Rais Magufuli aendelea kusisitiza kutafutwa kwa wafanyabiashara wote wanaohusika na kuficha kwa sukari nchini na kufikishwa mahakamani; https://youtu.be/TvgTbD1Jw7c
SIMU.TV: Madiwani kote nchini wametakiwa kuhakikisha wanaziba mianya ya uvujaji wa wa mapato katika halmashauri zao; https://youtu.be/t81WffjkKtw
SIMU.TV: Wakuu wa wailaya katika mikoa ya Tabora, Kigoma na Shinyanga wamesema kero kubwa wanazokutana nazo ni migogoro ya ardhi katika wilaya zao; https://youtu.be/Nv-qnt2tTP4
SIMU.TV: Mkuu wa wilaya ya kinondoni Mh Ali Hapi amewataka wenyeviti wote wa mitaa katika wilaya yake kuwafichua na kubandika picha zao wale wote wanaokiuka agizo hilo; https://youtu.be/nzaTqL49nAY
SIMU.TV: Watendaji wa mitaa nchini wametakiwa kuwa wawazi na ukweli katika utendaji kazi wao ili kuepusha malalamiko kutoka kwa wananchi; https://youtu.be/Upxmon2aOTA
SIMU.TV: Mahojiano maalumu na taasisi ya Brighter Monday inayojishughulisha na udalali wa ajira nchini; https://youtu.be/hRhe3ahe5aw
SIMU.TV: Timu ya Soka ya Yanga yazidi kujiimarisha kimataifa baada ya kufanikiwa kuwafunga Esperanca ya Angola kwa jumla ya mabao 2-0 katika michuano ya Shirikisho barani Afrika; https://youtu.be/izTWMyG7RzY
SIMU.TV: Stand United yalizamisha jahazi la Coastal Union hapo jana baada ya kuwafunga mabao 2-1; https://youtu.be/pbw8ixwoJn4
SIMU.TV: Serikali yatoa siku 14 kwa vyama vyote vya michezo nchini kufanya uchaguzi wa viongozi wapya na watakaokiuka agizo hilo wafutwe; https://youtu.be/5N4Ih9-2rmA
SIMU.TV: Hospitali ya taifa ya Muhimbili inakabiliwa na upungufu mkubwa wa damu ili kukidhi mahitaji ya wagonjwa wanaofika katika hospitali hiyo; https://youtu.be/Ei-PYnQcc-U
SIMU.TV: Wafanyabiahara wa biashara ndogondogo maarufu kama machininga wameiomba serikali kuwapa muda ili waweze kuondoka na kuhamia maeneo yaliotengwa kwa ajili ya kufanyia biahara zao. https://youtu.be/8oi1G6HIAPQ
SIMU.TV: Naibu waziri wa ardhi na maendeleo ya makazi ametoa wito kwa maafisa ardhi na mipango miji kuwaelimisha wananchi kuhusu mipango yao ya sasa na baadae ili kuepusha kubomolewa kwa sababu kujenga maeneo yasiyoruhusiwa; https://youtu.be/puJR_CoafI0
SIMU.TV: Baadhi ya wakazi wa yombo wamelalamikia uchakavu wa daraja la gari moshi hali ambayo inahatarisha maisha ya wakazi hao. https://youtu.be/0Idv_tGV3ds
SIMU.TV: Stand united hapo jana imefanikiwa kuifunga timu ya Coastal Union mabao mawili kwa moja na kuifanya coastal union kushuka daraja. https://youtu.be/cBg3qEEKnW8
Attachments area
Preview YouTube video Magufuli Alala Mbele wa Wahujumu Sukari
Magufuli Alala Mbele wa Wahujumu Sukari
Preview YouTube video Madiwani Nchini Dhibitini Mianya ya Upotevu wa Mapato
Madiwani Nchini Dhibitini Mianya ya Upotevu wa Mapato
Preview YouTube video Wakuu wa Wilaya Wachoshwa na Migogoro ya Ardhi
Wakuu wa Wilaya Wachoshwa na Migogoro ya Ardhi
Preview YouTube video DC Hapi Asisitiza Usafi Kinondoni Lazima
DC Hapi Asisitiza Usafi Kinondoni Lazima
Preview YouTube video Watendaji wa Mitaa Watakiwa kuwa Wazi na kweli
Watendaji wa Mitaa Watakiwa kuwa Wazi na kweli
Preview YouTube video Mahojiano Maalumu na Brighter Monday
Mahojiano Maalumu na Brighter Monday
Preview YouTube video Yanga ya Kimataifa Mbele kwa Mbele
Yanga ya Kimataifa Mbele kwa Mbele
Preview YouTube video Coastal Union Bye Bye Ligi Kuu, Simba kujiuliza kwa Mwadui Leo
Coastal Union Bye Bye Ligi Kuu, Simba kujiuliza kwa Mwadui Leo
Preview YouTube video Serikali Yavitaka Vyama vya Michezo kufanya Uchaguzi
Serikali Yavitaka Vyama vya Michezo kufanya Uchaguzi
Preview YouTube video Muhimbili Yakabiliwa Na Upungufu Wa Damu
Muhimbili Yakabiliwa Na Upungufu Wa Damu
Preview YouTube video Machinga Waomba Kuongezewa Muda
Machinga Waomba Kuongezewa Muda
Preview YouTube video Wananchi Watakiwa Kupewa Elimu Ya Ardhi
Wananchi Watakiwa Kupewa Elimu Ya Ardhi
Preview YouTube video Daraja Lahatarisha Maisha Ya Wakazi Yombo
Daraja Lahatarisha Maisha Ya Wakazi Yombo
Preview YouTube video Coastal Yashuka Daraja
Comments