SIMU.TV: Rais Dkt. Magufuli amewataka wafanyabiashara wote waliohodhi sukari katika maghala yao kuanza kuisambaza kabla hatua za kisheria kuchukuliwa. https://youtu.be/1NqeChCo_ns
SIMU.TV: Klabu ya Yanga inashuka dimbani hii leo katika mechi ya kwanza ya mchujo ya kuwania kucheza hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani Africa dhidi ya timu ya Esperansa. https://youtu.be/C3DpkyvrHzk
SIMU.TV: Wananchi katika wilaya ya Rorya mkoani Mara wametoa malalamiko kwa serikali kuhusiana na kitendo cha wafanya biashara kupandisha bei ya sukari. https://youtu.be/ZuZfZd36S3I
SIMU.TV: Zaidi ya tani 4579 za sukari zimekamatwa jijini Dar es Salaam baada ya rais Magufuli kuviagiza vyombo vya dola kufanya msako wa kuwabaini wanaoficha sukari. https://youtu.be/mkySV9ViCVE
SIMU.TV: Shirikisho la soka la kimataifa FIFA limeipiga faini ya Sh. Mil. 4.6 klabu ya Simba kwa kosa la kupuuza maagizo ya idara ya utatuzi wa migogoro. https://youtu.be/YDeZO8Qf_KY
SIMU.TV: Manispaa ya Ilala yawapa siku 2 wafanyabiashara wadogowadogo kuondoka katika maeneo ya pembezoni mwa barabara za mabasi yaendayo kasi;https://youtu.be/ tDUsagsRtIE
SIMU.TV: Jeshi la zima moto na uokoaji limefanikiwa kuokoa jengo la shirika la Taifa la hifadhi ya jamii la NSSF lililoshika moto hapo jana jioni. https://youtu.be/tGse51APHKY
SIMU.TV: Shule ya msingi Mtipa katika manispaa ya Singida yapata msaada wa madawati baada ya wanafunzi kukosa madawati kwa miaka mingi; https://youtu.be/B6XtkdyQhSU
Preview YouTube video Rais Magufuli Atoa Onyo Kali Kwa Walioficha Sukari
Preview YouTube video Yanga Kukichapa Leo Na Esperansa
Preview YouTube video Sukari Haishikiki Rorya
Preview YouTube video Zaidi Ya Tani 4579 Za Sukari Zilizofichwa Zakamatwa Dar
Preview YouTube video FIFA Yaipiga Faini Klabu Ya Simba
Preview YouTube video Wamachinga Wapigwa STOP Kariakoo
Preview YouTube video Jengo La NSSF Laungua Moto
Preview YouTube video Msaada Wa Madawati
Comments