HABARI KUTOKA VITUO VYA TELEVISHENI

SIMU.TV:  Rais Magufuli ameungana na waumini wa parokia ya toleo la bwana mkoani arusha na amewaomba watanzania kuendelea kuiyombea nchi yao: https://youtu.be/64Q4lVfhZD4


SIMU.TV: Kuharibika kwa maadili kunachangiwa na wazazi kutokua karibu na watoto wao na vijana kutumia mitandao ya kijamii:https://youtu.be/wpN5YRA4ZE4

SIMU.TV:  ugonjwa wa saratani ya macho  unasemekana ni ugonjwa hatari sana hapa nchini ususani  kwa watoto  wenye umri mdogo :https://youtu.be/LGDgBfj4gzM

SIMU.TV:   Tumaini media imezindua maandalizi ya tamasha la nyimbo za injili pamoja na vipindi  vya malezi na maadili kwa  vijana na watoto.   https://youtu.be/MGENwejFKFo
SIMU.TV:  Club ya Yanga imetetea ubingwa wa ligi kuu ya Tanzania bara baada ya timu ya Simba kufungwa goli moja na timu ya Mwadui FC.        https://youtu.be/kP778cpQhfs

SIMU.TV:   Serikali imekiri kuwa adhabu inayotolewa kwa makosa ya vitendo vya rushwa  ni ndogo hivyo serikali imejipanga  kuifanyia marekebisho sheria ya rushwa: https://youtu.be/7u5iOuEuPM0

SIMU.TV:  Muhimbili yakabiliwa na upungufu mkubwa wa damu ili kukidhi mahitaji ya wagonjwa wanaofika katika hospitali hiyo; https://youtu.be/Ei-PYnQcc-U

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.