HABARI KUTOKA VITUO VYA TELEVISHENI

SIMU.TV:  Serikali imewaonya raia wake toka Burundi wanaoishi katika kambi ya Bulyanhulu mkoani Tabora kuacha vitendo vianavyoashiria uvunjifu wa amani.    https://youtu.be/qF8wHZ_lWNM

SIMU.TV:   Bodi ya wabunifu wa majengo na wakadiriaji wa majenzi imezindua kampeni ya kuhamasisha wanafunzi mashuleni kote nchini kupenda masomo ya sayansi.     https://youtu.be/7r4yJ60i-h8

SIMU.TV;   Wamachinga eneo la Kariakoo wamejikuta wakitawanywa na mabomu ya machozi baada ya kutaka kuzuia msafara wa rais  ili waweze kueleza dukuduku zao; . https://youtu.be/ZSYNdbB_Xto  

SIMU.TV; Baadhi ya wananchi katika eneo la Tazara jijini Dar es Salaam wamepomgeza juhudi za serikali katika kutekeleza mradi wa barabara ya juu katika eneo la Tazara yaani fly over. https://youtu.be/Hg7Z0RQ5Y3g  

SIMU.TV:  Ligi kuu Vodacom kurindima leo hii katika uwanja wa taifa ambapo bingwa wa ligi kuu atakabidhwa kombe la ubingwa;  https://youtu.be/7DxcXh0PUQE

SIMU.TV:  Waamuzi watakaochezesha mchezo wa masumbwi leo watakiwa kufuata sheria na kuondoa uzalendo wa kutetea nchi zao; https://youtu.be/AdJnQa-NFYM 

SIMU.TV:  Afisa elimu mkoani Lindi amewataka walimu  mkoani humo kuwa chachu ya mabadiliko ili kuwezesha serikali kutimiza lengo la kuinua elimu nchini; https://youtu.be/B4UWno_L6S0

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.