SIMU.TV: Serikali imewaonya raia wake toka Burundi wanaoishi katika kambi ya Bulyanhulu mkoani Tabora kuacha vitendo vianavyoashiria uvunjifu wa amani. https://youtu.be/qF8wHZ_lWNM
SIMU.TV: Bodi ya wabunifu wa majengo na wakadiriaji wa majenzi imezindua kampeni ya kuhamasisha wanafunzi mashuleni kote nchini kupenda masomo ya sayansi. https://youtu.be/7r4yJ60i- h8
SIMU.TV; Wamachinga eneo la Kariakoo wamejikuta wakitawanywa na mabomu ya machozi baada ya kutaka kuzuia msafara wa rais ili waweze kueleza dukuduku zao; . https://youtu.be/ZSYNdbB_Xto
SIMU.TV; Baadhi ya wananchi katika eneo la Tazara jijini Dar es Salaam wamepomgeza juhudi za serikali katika kutekeleza mradi wa barabara ya juu katika eneo la Tazara yaani fly over. https://youtu.be/Hg7Z0RQ5Y3g
SIMU.TV: Ligi kuu Vodacom kurindima leo hii katika uwanja wa taifa ambapo bingwa wa ligi kuu atakabidhwa kombe la ubingwa; https://youtu.be/7DxcXh0PUQE
SIMU.TV: Waamuzi watakaochezesha mchezo wa masumbwi leo watakiwa kufuata sheria na kuondoa uzalendo wa kutetea nchi zao; https://youtu.be/AdJnQa-NFYM
SIMU.TV: Afisa elimu mkoani Lindi amewataka walimu mkoani humo kuwa chachu ya mabadiliko ili kuwezesha serikali kutimiza lengo la kuinua elimu nchini; https://youtu.be/B4UWno_L6S0
Preview YouTube video uzinduzi wa kampeni ya upendaji wa masomo ya sayansi new
Preview YouTube video Machinga Watawanywa Kwa Mabomu
Preview YouTube video Wananchi Waipongeza Serikali
Preview YouTube video Ubingwa VPL
Preview YouTube video Pambano La Masumbwi Leo
Preview YouTube video Walimu Lindi Waaswa
Comments