MIJADALA YA BUNGE


SIMU.TV: Mbunge wa Ndada Mhe.Davidi aamua kuitolea serikali uvivu kufuatia wanawake kituo cha Chiwale kujifungulia kwenye wodi za kawaida.https://youtu.be/f5hHHgWQ2YM

SIMU.TV: Mhe.Riziki Shahari aihoji serikali juu ya wajawazito kuzalishwa na wataalam wa kiume ikilinganishwa na mila na desturi za Kiafrika.          https://youtu.be/KFR46gY6eIA

SIMU.TV: Mbunge wa Muheza Mhe.Adad aitaka serikali kueleza lini itajenga viwanda Muheza ili wakulima waweze kunufaika na mazao yao.       https://youtu.be/9VdOGXy7bvg

SIMU.TV: Je ni lini serikali itaacha kuagiza toothpick kutoka nje? Sikiliza jinsi Mhe.Mwijage anavyodadavua majibu ya swali hilo.    https://youtu.be/byNPFvaKI6Q

SIMU.TV: Sikiliza alichokisema Mhe.Nape Nauye alivyoelezea dhamira ya serikali juu ya ujenzi wa vituo vya michezo ya riadha mkoani Manyara.   https://youtu.be/9E0xEumSim4

SIMU.TV: Mh.Bashungwa (Karagwe) ahoji mikakati ya serikali kuhakikisha benki za TIB na TADB zinatekeleza kwenye utekelezaji wa ilani ya CCM;https://youtu.be/FHSc6F3voFU

SIMU.TV:  Mbunge wa Kilindi Mhe.Kigua aitaka serikali kupeleka ofisi ya TRA wilayani Kilindi ili wananchi waweze kulipa kodi kikamilifu;https://youtu.be/kKdAHTlQWv0

SIMU.TV: Mbunge waTunduru Mhe.Idd Mpakate aitaka serikali kutoa fedha kwaajili ya ukamilishaji wa miradi ya maji; https://youtu.be/ez92dShDtao

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.