MIJADALA YA BUNGE

SIMU.TV: Hotuba ya bajeti ya wizara ya afya, maendeleo ya jamii, jinsia na wazee na watoto kwa mwaka wa fedha 2016/2017 yawasilishwa mezani.    https://youtu.be/_i2Qhr84wzs

SIMU.TV: Omari ahoji mpango wa serikali kuzibana na kuziamuru halmashauri zote nchini kutenga asilimia 5 ya fedha za mapato ya ndani kwa vijana na wanawake.    https://youtu.be/ei9_-iv41SQ

SIMU.TV: Nini hatma ya ujenzi wa wodi za watoto na mama wajawazito kulingana na idadi ya watoto na akina mama wanaohudumiwa.    https://youtu.be/r08LSSDrqK0

SIMU.TV: Mhe. Kanyansu aihoji serikali juu ya  kuifanya shule ya sekondari ya Nyankumbu ilijengwa na mradi wa GGM kuwa ya bweni.     https://youtu.be/0G2VMz-Pook

SIMU.TV: Haya hapa majibu ya serikali juu ya mashirika yanayoshindwa kuendesha mashamba yaliyochukuliwa kutoka kwa wananchi.   https://youtu.be/FTT0B3dwspQ

SIMU.TV: Mhe. Mattar Salum aikalia kooni serikali ukarabati wa nyumba za askari kutokana na nyumba hizo kuchakaa sana;https://youtu.be/uYdFKoTsTR8

SIMU.TV:  Hatimaye kwa mara nyingine tena serikali yawakumbuka wachimbaji wadogo wa madini wilayani Busiri;https://youtu.be/_QLsqIqPBxk

SIMU.TV: Fahamu mambo yanayosababisha viwanda vingi nchini kusuasua katika uzalishaji na vingine kufungwa kabisa; https://youtu.be/TEgqE5bdFRs

SIMU.TV: Je ni lini serikali itaweka msukumo katika mikoa ili iweze kuzalisha kwa wingi mazao katika mikoa hiyo? https://youtu.be/-v17_Uz72zs   


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.