MIJADALA YA BUNGE

SIMU.TV: Hii hapa hotuba bajeti ya wizara ya ujenzi, uchukuzi na mawasiliano kwa mwaka wa fedha 2016/2017.https://youtu.be/uA5cZlyYvIs

SIMU.TV: Mbunge wa Maswa mashariki Mhe. Nyongo aihoji serikali juu ya vigezo vilivyotumika kuamua makao makuu ya mkoa Simiyu kuwa Bariadi badala ya Maswa.   https://youtu.be/qyxj9vjDYNk

SIMU.TV: Baadhi ya abiria wanaotumia mabasi yaendayo haraka wamezishauri mamlaka husika kuweka jenereta ili kutoa huduma za ukataji tiketi pindi umeme utakapokatika;https://youtu.be/Y0BWiOx76j8

SIMU.TV: Vijana 76 wenye umri kati ya 16 wanaojihusisha na kundi la uporaji Panya Road wametiwa mbaroni na jeshi la polisi.   https://youtu.be/YhPwjT8Jq-4

SIMU.TV:  Haya hapa majibu ya serikali juu ya namna itakavyoweza kuwasaidia wakulima wa tumbaku mkoani Tabora ikiwa mkoa huo hauna viwanda. https://youtu.be/tJLiun48aNk

SIMU.TV: Je serikali iko tayari kufuta uamuzi uliotolewa na mkuu wa mkoa wa Manyara wa kuwazuia wakulima ili kuondoa migogoro ya ardhi?  https://youtu.be/oN2CigQ5alY

SIMU.TV: Mhe. Sixtus  Mapunda ataka serikali kulinda soko la wakulima wadogo wa kahawa kufuatia ongezeko la wakulima wakubwa wa zao hilo. https://youtu.be/3b4aWW2f5iM

SIMU.TV: Mh.Norman Sigara aitaka serikali kuboresha miundombinu ya barabara ili kuunganisha mkoa wa Njombe na Mbeya.https://youtu.be/bNbx5-SsS8Q

SIMU.TV: Sikiliza kauli ya serikali juu ya ujenzi wa vituo vya polisi Liwale na nyumba za askari ambao bado wanaishi nje ya kambi za polisi.https://youtu.be/YbTSdTnMvuQ

SIMU.TV: Fahamu mambo mengi  kutoka kwa mkuruenzi  wa urejeshaji wa mikopo akikujuza  kuhusu changamoto za urejeshaji wa mikopo ya elimu ya juu: https://youtu.be/cyrhLYJbjaI

SIMU.TV: Jifunze mambo mengi kutoka kwa mwanasheria wa TAMWA akikufahamisha kuhusu masuala ya mimba za utotoni.https://youtu.be/BvMac17KaqI

SIMU.TV: Fahamu mambo mengi  kutoka kwa mkuruenzi  wa urejeshaji wa mikopo akikujuza  kuhusu changamoto za urejeshaji wa mikopo ya elimu ya juu.  https://youtu.be/FFnV--kXuso

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI