Wafanyakazi wakiwa wameshikana mikono walipokuwa wakiimba wimbo wa mshikamano katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani kwenye Uwanja wa Jamhuri, Mjini Dodoma
Rais John Magufuli (wa tatu kushoto) akiwa ameshakana mikono na baadhi ya viongozi wakati wa kuimba wimbo wa mshikamano katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani kwenye Uwanja wa Jamhuri, Mjini Dodoma . Kutoka kushoto ni Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama na kutoka kulia ni, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Rais wa Tucta, Gratian Mucoba.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Rais John Magufuli akihutubia wakati wa maadhimisho hayo.
Msondo Ngoma wakitumbuiza
Kikundi cha Sanaa cha Nyota kikitumbuiza
Rais Magufuli akiwasili uwanjani na kuloakiwa na makamu wake, Samia Suluhu Hassan
Maandamano ya wafanyakazi
Hata wachina walikuwemo
Wna CCM haooooo
Waalimu haoooo
Waalimu wakitembelea magoti ikiwa ni ishara ya kumuomba Rais John Magufuli asaidie kuboresha masilahi yao wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani kwenye Uwanja wa Jamhuri, Mjini Dodoma
Wafanyakazi wa Kampuni ya Kiboko wakiwa wamebeba mifuko ya saruji walipokuwa wakiandamana wakati wa maadhimisho hayo.
Wafanyakazi wa Kampuni ya Kiboko wakiwa wamebeba mifuko ya saruji walipokuwa wakiandamana wakati wa maadhimisho hayo.
Tanesco haooo
Madaktari wakipambana na wagonjwa wa akili Hospitali ya Milembe
Tingatinga mbele ya Tingangatyinga Rais Magufuli
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana akihutubia
Mwenyekiti wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE, Almasi Maige akihutubia
Waziri Jenista Mhagama akihutubia
Rais wa Tucta, Gratian Mucoba akinyanyua kombe walilokabidhiwa na Rais Magufuli kwa kuandaa vizuri sherehe hizo
Katibu Mkuu wa Tucta, Nicholous Mgaya akihutubia
Sehemu ya umati wa wafanyakazi na wananchi waliohudhuria maadhimisho hayo
Rais John Magufuli (wa tatu kushoto) akiwa ameshakana mikono na baadhi ya viongozi wakati wa kuimba wimbo wa mshikamano katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani kwenye Uwanja wa Jamhuri, Mjini Dodoma . Kutoka kushoto ni Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama na kutoka kulia ni, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Rais wa Tucta, Gratian Mucoba.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Rais John Magufuli akihutubia wakati wa maadhimisho hayo.
Msondo Ngoma wakitumbuiza
Kikundi cha Sanaa cha Nyota kikitumbuiza
Maandamano ya wafanyakazi
Hata wachina walikuwemo
Wna CCM haooooo
Waalimu haoooo
Waalimu wakitembelea magoti ikiwa ni ishara ya kumuomba Rais John Magufuli asaidie kuboresha masilahi yao wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani kwenye Uwanja wa Jamhuri, Mjini Dodoma
Wafanyakazi wa Kampuni ya Kiboko wakiwa wamebeba mifuko ya saruji walipokuwa wakiandamana wakati wa maadhimisho hayo.
Wafanyakazi wa Kampuni ya Kiboko wakiwa wamebeba mifuko ya saruji walipokuwa wakiandamana wakati wa maadhimisho hayo.
Tanesco haooo
Madaktari wakipambana na wagonjwa wa akili Hospitali ya Milembe
Tingatinga mbele ya Tingangatyinga Rais Magufuli
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana akihutubia
Mwenyekiti wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE, Almasi Maige akihutubia
Waziri Jenista Mhagama akihutubia
Rais wa Tucta, Gratian Mucoba akinyanyua kombe walilokabidhiwa na Rais Magufuli kwa kuandaa vizuri sherehe hizo
Katibu Mkuu wa Tucta, Nicholous Mgaya akihutubia
Sehemu ya umati wa wafanyakazi na wananchi waliohudhuria maadhimisho hayo
Comments