SIMU.TV: Jeshi la polisi mkoani Tanga limefanikiwa kumkamata jambazi mmoja na kukamata bunduki moja ikiwa na risasi zake huku akikiri kuhusika na matukio mbalimbali ya uhalifu; https://youtu.be/zxFHC8i-rEo
SIMU.TV: Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wamevamia ofisi ndogo ya Vodacom mkoani Geita na kumuua mlinzi pamoja na kuiba mali zenye thamani ya zaidi shilingi 10; https://youtu.be/Lrh7Yy70S_k
SIMU.TV: Shirika la Reli nchini kituo cha Dodoma limefanikiwa kuokoa zaidi ya shilingi Bilioni 5 baada ya kufanikiwa kufufua mabehewa 24 ya mizigo;https://youtu.be/OLxHECJCb8E
SIMU.TV: Taasisi ya Montage kwa kushirikiana na Serena Hotel wanatembelea kituo cha kulelea watoto wenye mazingira magumu cha Dogodogo Center na kuwapata misaada pamoja na kuwalisha chakula;https://youtu.be/5MegntO6pSI
SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Lindi Godfrey Zambi amemtaka mkurugenzi wa wilaya ya Liwale kusimamia ujenzi wa vyoo na mabweni katika shule ya sekondari Nangano; https://youtu.be/ZEHjI_UYhlg
SIMU.TV: Timu ya soka ya Yanga itashuka dimbani leo baadae kuvaana na wenyeji wao timu ya soka ya Mo Bejaia nchini Algeria;https://youtu.be/VvpuSD1qgiU
SIMU.TV: Timu ya taifa chini ya umri wa miaka 17 imecheza mchezo wa kirafiki na timu ya vijana ya Simbion na kutoka sare ikiwa ni mazoezi ya kujiandaa na mchezo wao dhidi ya Shelisheli; https://youtu.be/S62ccjHHaok
Preview YouTube video Polisi Yamkamata Jambazi Tanga
Preview YouTube video Majambazi Yaua Mkoani Geita
Preview YouTube video Ufufuaji wa Mabehewa ya Treni Dodoma
Preview YouTube video Kituo cha Dogodogo Bunju
Preview YouTube video Ujenzi wa Mabweni Wilayani Liwale Lindi
Preview YouTube video Yanga Kushuka Dimbani
Preview YouTube video Serengeti Boys Kuendelea na Dozi ya Mazoezi
Comments