HABARI KUTOKA TELEVISHENI

SIMU.TV: Jeshi la polisi mkoani Tanga limefanikiwa kumkamata  jambazi mmoja na kukamata bunduki moja ikiwa na risasi zake huku akikiri kuhusika na matukio mbalimbali ya uhalifu; https://youtu.be/zxFHC8i-rEo


SIMU.TV: Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wamevamia ofisi ndogo ya Vodacom mkoani Geita na kumuua mlinzi pamoja na kuiba mali zenye thamani ya zaidi shilingi 10; https://youtu.be/Lrh7Yy70S_k

SIMU.TV: Shirika la Reli nchini kituo cha Dodoma limefanikiwa kuokoa zaidi ya shilingi Bilioni 5 baada ya kufanikiwa kufufua mabehewa 24 ya mizigo;https://youtu.be/OLxHECJCb8E

SIMU.TV: Taasisi ya Montage kwa kushirikiana na Serena Hotel wanatembelea kituo cha kulelea watoto wenye mazingira magumu cha Dogodogo Center na kuwapata misaada pamoja na kuwalisha chakula;https://youtu.be/5MegntO6pSI

SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Lindi Godfrey Zambi amemtaka mkurugenzi wa wilaya ya Liwale kusimamia ujenzi wa vyoo na mabweni katika shule ya sekondari Nangano; https://youtu.be/ZEHjI_UYhlg  


SIMU.TV: Timu ya soka ya Yanga itashuka dimbani leo baadae kuvaana na wenyeji wao  timu ya soka ya Mo Bejaia nchini Algeria;https://youtu.be/VvpuSD1qgiU

SIMU.TV: Timu ya taifa chini ya umri wa miaka 17 imecheza mchezo wa kirafiki na timu ya vijana ya Simbion na kutoka sare ikiwa ni mazoezi ya kujiandaa na mchezo wao dhidi ya Shelisheli; https://youtu.be/S62ccjHHaok

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.