SIMU.TV: Rais Dr Magufuli amemuapisha Naibu Mwanasheria mkuu wa serikali ambaye amechukua nafasi iliyoachwa wazi na Dr Tulia Ackson ambaye amekuwa Naibu Spika wa bunge la Tanzania;https://youtu.be/DREaYf47cjA
SIMU.TV: Tume ya ushindani nchini imeapa kuwachukulia hatua wafanyabiashara wote watakaoingiza simu bandia nchini mara baada ya kuzimwa kwa simu zote bandia; https://youtu.be/9mPvkz7J70E
SIMU.TV: Mamlaka yan chakula na dawa kanda ya kusini imeteketeza kwa moto dawa, chakula na vipodozi vilivyopitwa na wakati huku ikisidakiwa kuwa na sumu kwa watumiaji; https://youtu.be/PmRXSYycD9A
SIMU.TV: Matumizi mabaya ya taaluma kwa watumishi mbalimbali wa umma kunasababishwa na kutokua na hofu ya mungu na matokeo yake kusababisha vifo na dhuluma kwa wananchi; https://youtu.be/u3pGIVPKvlo
SIMU.TV: Mwili wa mtu mmoja aliyetambulika kwa majina ya James Juma Philipo bado umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti hospitali ya Oljoro kwa wiki moja sasa akiwa amekosa ndugu;https://youtu.be/ge_lPLPHsAo
SIMU.TV: Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imetupwa nje katika mashindano ya kuwania tiketi ya kucheza AFCON baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Misri; https://youtu.be/pjpAE_Y1w7s
SIMU.TV: Wachezaji wa Golf zaidi ya 80 wameshiriki mchezo huo katika viwanja vya Gymcana ili kusaidia kuchangisha pesa kwa ajili ya watoto mbalimbali wenye matatizo hususani ya moyo;https://youtu.be/n7V6aCiz9E4
SIMU.TV: Zaidi ya watoto 100 wenye matatizo ya miguu vifundo wamepona kabia ugonjwa huo wilayani Sengerema mkoani Mwanza;https://youtu.be/Mx_O14ZJqdI
SIMU.TV: Wakazi wilayani Arumeru mkoani Arusha wamewalalamikia viongozi wa kata mbalimbali wilayani humo kwa kutoweka mipaka ya hifadhi za misitu sababu inayopelekea watu kuvamia maeneo hayo;https://youtu.be/Z3ucMbZ-G5Y
SIMU.TV: Mkuu wa wilaya ya Sikonge mkoani Tabora Hanifa Selengo amesema kuwa msako wa kuwakamata watu wanaotorosha tumbaku mkoani humo unakabiliwa na changamoto nyingi;https://youtu.be/YzspwAmmz-0
SIMU.TV: Kamati iliyokuwa inachunguza makosa 13 yanayomkabidhi aliyekuwa mkurugenzi wa Hanang Felix Mabula imekamilisha uchunguzi wake na kukabidhi ripoti hiyo kwa uongozi; https://youtu.be/qlsVjG7HAMs
SIMU.TV: Waziri wa nchi ofisi ya rais TAMISEMI Mh George Simbachawene amewataka wakuu wa mikoa kote nchini kutoa taarifa juu ya ukamilishaji wa zoezi la madawati; https://youtu.be/svTzA4NW7Ow
SIMU.TV: Baadhi ya wakazi wa kata ya Majengo wilayani Rukwa mkoani Sumbawanga wamewataka viongozi kuzingatia weledi kwa mkandarasi atakayechaguliwa kujenga barabara yao; https://youtu.be/lJ5DcanUnNg
SIMU.TV: Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imetupwa nje katika mashindano ya kuwania tiketi ya kucheza AFCON baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Misri; https://youtu.be/sdRCX_dm87c
SIMU.TV: Mashabiki wa Masumbwi nchini wamepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha nguli wa zamani wa masumbwi dunia Mohammed Alli aliyefariki dunia hapo jana nchini Marekani; https://youtu.be/m1akg-IsCRY
SIMU.TV: Wafanyakazi kote nchini wametakiwa kushiriki michezo mbalimbali ili kuweza kujiepusha na magonjwa;https://youtu.be/AXq1BNRmGaU
SIMU.TV: Tamasha la Majimaji Selebuka limemalizika hapo jana wilayani Songea mkoani Ruvuma na washindi mbalimbali kukabidhiwa zawadi zao;https://youtu.be/bNfdCneLXnk
Comments