SIMU.TV: Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Naseeb Abdul (Diamond) amekabidhi msaada wa madawati 600 kwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam. https://youtu.be/nlBVpeom5nI
SIMU.TV: Mtandao wa wasanii Tanzania SHIWATA wamekabidhi jumla ya hekari 5 kwa mchezaji wa kimataifa Tanzania Mbwana Samatta. https://youtu.be/wD2GLjpWz_g
SIMU.TV: Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yatoa onyo kwa wafanyabiashara watakao pandisha bei za bidhaa muhimu katika kipindi hiki cha mwezi wa Ramadhani. https://youtu.be/Em9O8ldXyTo
SIMU.TV: Wazazi na wadau wa michezo nchini wameombwa kuwaruhusu watoto wa kike kushiriki katika michezo hususani mpira wa miguu. https://youtu.be/_CO9VyiHUhY
SIMU.TV: Klabu ya Soka ya Yanga imefikisha barua ya tuhuma za rushwa katika sakata la uchaguzi wa klabu hiyo kwa ajili ya uchunguzi Zaidi. https://youtu.be/FMahv5mvWJI
SIMU.TV: Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yasema haitakuwa tayari kulipa fidia kwa hasara ya mali za wananchi watakao kahidi agizo la kuhama eneo la jengo la Treni lililopo darajani mjini Zanzibar. https://youtu.be/LIMgKEMddRw
Preview YouTube video Diamond Achangia Madawati 600
Preview YouTube video SHIMWATA Yamkabidhi Hekari 5 Mbwana Samatta
Preview YouTube video Kauli Ya Rais Shein Kwa Wafanyabiashara Wa Zanzibar
Preview YouTube video Wasichana Kahama Wapania Soka la Miguu
Preview YouTube video Yanga Yawasilisha Tuhuma za Rushwa TAKUKURU
Preview YouTube video SMZ Yatoa Onyo Kali Kwa Wananchi Wa Jengo La Treni
Comments