Marufuku wapenzi wa jinsia moja kuasili watoto DRC


Image copyrightUGANDA
Image captionMarufuku wapenzi wa jinsia moja kuasili watoto DRC
Bunge la Seneti la Jamhuri ya kidemkrasia ya Congo limepiga marufuku wapenzi wa jinsia moja kuwaasili watoto kutoka nchi hiyo.
Serikali imekuwa mstaari wa mbele ikijaribu kupeleleza hatma ya watoto waliohamishwa nje ya nchi na inasema ugumu ulioko ndiyo sababu kuu iliyosababisha ikachukua hatua hii.
Marufuku hii haswa inalenga hatua ya kuwahamisha watoto nje ya DRC kulingana na redio Okapi.wapenzi wa jinsia moja
Tangu mwaka wa wa 2013 DRC imekuwa ikipinga kuhamishwa nje ya nchi kwa watoto walioasiliwa nchini humo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU