Miili 117 yapatikana baharini Libya



Image copyrightRINA MILITARE VIA AP PHOTO
Image captionBoti ilizama
Shirika la Red Crescent organisation linasema kuwa idadi ya miili ambayo imepatikana katika ufukwe wa bahari magharibi mwa Libya imeongezeka na kufikia 117.
Waliofariki wanaaminika kuwa wahamiaji kutoka jangwa la sahara ambao walikufa maji wakijaribu kuelekea Ulaya.
Haijulikani ni lini walifariki.Walibebwa na maji na kuachwa katika ufukwe wa mji wa Zuwara,ambapo maboti mengi yalio hafifu baharini yanadaiwa kuondoka kueleka Italy yakiwa yamejaa wahamiaji.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI