SIMU.TV: Mhe.Hawa Chakoma aihoji serikali juu ya utekelezaji wa adhma yake ya kutengeneza ajira kwa vijana;https://youtu.be/y1oT9g_VZs4
SIMU.TV: Mhe.Lema aitaka serikali kutengeneza ajira ili kuwaepusha vijana na adhabu pindi watakapokamatwa wakicheza pool table wakati wa mchana; https://youtu.be/EtoP5M6GQp8
SIMU.TV: Mbunge wa viti maalum Mhe.Sofia Simba aitaka serikali kurejesha shule ya Nbembela wilayani Rungwe iliyojengwa kwa nguvu ya wananchi; https://youtu.be/JhOm06ypCLQ
SIMU.TV: Je ni lini serikali itapanua mipaka ya hifadhi iliyopo Maswa kama ilivyoahidiwa katika kampeni na rais Magufuli? Mhe. Mahmoud Mgimwa anatoa majibu ya serikali;
SIMU.TV: Mhe.Augustino Masele aitaka serikali kuweka mazingira rafiki hususan miundombinu katika vivutio vya utalii ili kuendeleza sekta utalii; https://youtu.be/rjKmv8E4RqY
SIMU.TV: Mhe. Medard Kalemani atoa majibu ya serikali juu ya ukamilishaji wa miradi mbalimbali ya REA iliyosuasua wilayani Tunduru. https://youtu.be/dW52_cs6-MA
SIMU.TV: Je ni lini askari wanaomaliza mafunzo kwa ngazi mbalimbali watalipwa kwa wakati maslahi yao ili kuendana na vyeo vyao? Haya hapa majibu ya serikali. https://youtu.be/oRNmrOj3iZA
SIMU.TV: Mhe. Hawa Ghasia aiwakia serikali kuridhia ujenzi wa kiwanda cha mbolea katika maeneo ya Msanga Mkuu Mtwara vijijini; https://youtu.be/CgLU_o4TLhI
Preview YouTube video Changamoto Zinazowakabili Vijana
Preview YouTube video Mhe Lema Alonga Changamoto Ya Ajira Nchini
Preview YouTube video Kurejeshwa Kwa Shule Zilizojengwa Kwa Nguvu Za Wananchi
Preview YouTube video Uboreshaji Wa Sekta Ya Utalii
Preview YouTube video Kusuasua Kwa Miradi Ya REA
Preview YouTube video Malipo Ya Mishahara Kwa Askari Wanaomaliza Mafunzo
Preview YouTube video Ujenzi Wa Kiwanda Cha Mbolea Mtwara Vijijini
Comments