TEA KUJENGA NYUMBA 40 ZA WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI


 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Joel Laurent (katikati), akizungumza wakati wa hafla fupi ya kutiliana saini ya makubaliano ya ujenzi wa nyumba 40 za walimu wa Shule za Sekondari zitakazojengwa na Watumishi Housing Company katika mikoa 23 ya Tanzania Bara, ambapo familia 240 za walimu zitanufaika na ujenzi wa nyumba hizo. Kushoto ni Mkurugeni Mtendaji wa Watumishi Housing Company (WHC), Dk. Fred Msemwa na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Mipango na Uwekezaji wa TEA, Julius Rugemalila. (Picha na Francis Dande)
Mkurugeni Mtendaji wa Watumishi Housing Company (WHC), Dk. Fred Msemwa (katikati) akizungumza wakati wa kutiliana saini ya makubaliano ya ujenzi wa nyumba 40 za walimu wa Shule za Sekondari.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA). Joel Laurent (kulia) na Mkurugeni Mtendaji wa Watumishi Housing Company (WHC), Dk. Fred Msemwa (katikati), wakisaini mkataba wa ujenzi wa nyumba 40 za walimu wa Shule za Sekondari zitakazojengwa katika mikoa 23 ya Tanzania Bara, ambapo familia 240 za walimu zitanufaika na ujenzi wa nyumba hizo. 
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA). Joel Laurent (kulia), akibadilishana hati na Mkurugeni Mtendaji wa Watumishi Housing Company (WHC), Dk. Fred Msemwa baada ya kusaini mkataba wa ujenzi wa nyumba 40 za walimu wa Shule za Sekondari zitakazojengwa katika mikoa 23 ya Tanzania Bara, ambapo familia 240 za walimu zitanufaika na ujenzi wa nyumba hizo.



Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA). Joel Laurent (kulia) na Mkurugeni Mtendaji wa Watumishi Housing Company (WHC), Dk. Fred Msemwa wakipongezana.
Picha ya pamoja.
 Mkurugeni Mtendaji wa Watumishi Housing Company (WHC), Dk. Fred Msemwa akisaini kitabu cha wageni.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA). Joel Laurent (katikati) na Mkurugeni Mtendaji wa Watumishi Housing Company (WHC), Dk. Fred Msemwa (kulia), wakizungumza mara baada ya kutiliana saini ya makubaliano ya ujenzi wa nyumba 40 za walimu wa Shule za Sekondari.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.