WABUNGE WA UPINZANI WATOKA BUNGENI WAKIWA WAMEZIBA MIDOMO

 Mbunge wa Jimbo la Vunjo, James Mbatia akizungmza na wanahabari baada ya kutoka bungeni, bungeni Dodoma jana,  huku wakiwa wameziba midomo yao kuendeleza msimamo wao kuingia na kutoka bungeni vikao vinavyoongozwa na Naibu Spika wa Bunge kwa madai ya kutokuwa na imani naye. Wanasema kitendo hicho cha kuziba midomo ni kuonesha hisia zao za kuzibwa midomo bungeni kwa kutochangia mijadala mbalimbali.
Wabunge wakiwa wameziba midomo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI