WAZIRI MKUU MAJALIWA AZINDUA MPANGO WA MAENDELEO WA MIAKA MITANO


 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17-2020/21 kwenye Ukumbi wa Chuo cha Mipango mkoani Dodoma leo. Anayeshuhudia ni Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mapango,

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi Waziri wa Fedha na Mipango, Philip Mpango kitabu cha mpango huo.
 Mawaziri wakifurahi baada ya mpango huo kuzinduliwa.
 Waziri Mkuu, Majaliwa akimkabidhi mpango huo, Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson.
 Waziri Mkuu, Majaliwa akimkabidhi mpsngo huo Mbunge wa Jimbo la Korogwe kwa niaba ya Kiongozi Kambi ya Upinzani bungeni, Freeman Mbowe ambaye ahakuwepo katika sherehe hiyo.
 Waziri Mkuu, Majaliwa akiwa na viongozi wote waliokabidhiwa mpango huo.
 Baadhi ya wazee na viongozi wa dini wakishiriki katika sherehe hizo
 Philip Mpango akijadiliana jambo na Waziri wa Elimu, Profesa Joyce Ndalichako pamoja na Waziri wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage
 Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Augustino Mahiga akizungumza na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG

 Profesa Jumanne Maghembe na Balozi Mahiga wakifurahia jambo
 Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Valentino Mlowola akizungumza na Mahiga


 Dk. Mpango akimkaribisha Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson
 Naibu Spika akisalimiana na Mbuu wa Wilaya ya Dodoma mjini, Jasmine Tisekwa
 Naibu Sika akizungumza na Nape pamoja na January Makamba
 Waziri Mwijage akisalimiana na mmoja wa maofisa wa Wizara ya Fedha na Mipango
 Waziri Mkuu, Majaliwa akikaribishwa na Dk. Mpango
 Waziri Mkuu Majaliwa akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya Fedha na Mipango, Doroth Mwanyika
 Baadhi ya wageni waalikwa
 Dk. Mpango akiteta jambo na Waziri Mkuu Majaliwa
 Kiongozi wa Dini ya Kiislamu akiomba dua ili mpango huo ufanikiwe
 Kiongozi wa Dini ya Kikristo  akiuombea mpango huo
 Mawaziri wakiuombea mpango huo
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana akitoa salamu za mkoa kabla ya kumkaribisha Waziri Mkuu, Majaliwa
 Kikundi cha ngoma za asili ya kabila la Wagogo cha Nyati kikitumbuiza









 Majaliwa akiwa namawaziri
Waziri Mkuu, Majaliwa akiaga baada ya kuzindua mpango huo muhimu kwa Taifa

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA