Baadhi ya matukio yaliyojiri Bungeni hii leo June 2, 2016.
Naibu waziri Mhe. Jafo atoa tamko la serikali juu ya hali ya ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na mgambo kwa wafanyabiashara wadogo. https://youtu.be/ZUdbhe3ZuLw
Mhe. Nyongo akumbushia ahadi ya rais mstaafu Dkt. Kikwete juu ya ukamilishaji wa ujenzi wa barabara za mji wa Maswa. https://youtu.be/5_obKUQDo1M
Mbunge wa Mufindi kusini ahoji juu ya ukamilishaji wa mradi wa maji wa kata ya Mtwango ili uweze kukabidhiwa kwa wananchi. https://youtu.be/WVHlwVwAdoQ
Je serikali ya muungano inaipatia serikali ya mapinduzi Zanzibar kiasi gani cha fedha kwa mwaka kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi?. https://youtu.be/YTkisld3Zhw
Hii hapa mipango ya serikali ya kuhakikisha askari wa usalama wanakuwa waadilifu dhidi ya vitendo vya rushwa na ukosefu wa maadili. https://youtu.be/PoRbbUaOzD0
Mhe. Eng. Masauni atoa ufafanuzi juu ya upatikanaji wa nyumba za askari na maji kwa askari wa jeshi la polisi wilayani Uyui. https://youtu.be/pshj7SVCo70
Regards,
Felister Joseph.
Preview YouTube video hatma ya mgambo kunyanyasa wafanyabishara wadogo new
Preview YouTube video Ujenzi Wa Barabara Za Mji Wa Maswa
Preview YouTube video Mradi Wa Maji Kata Ya Mtwango
Preview YouTube video Pesa Inayotolewa Na Serikali Kwa Mikopo Ya Wanafunzi wa Zanzibar
Preview YouTube video udhibiti wa vitendo vya rushwa kwa askari wa usalama barabarani new
Preview YouTube video ujenzi wa nyumba za askari wilayani uyui new
Comments