YALIYOJIRI BUNGENI HII LEO

SIMU.tv:  Naibu Waziri Mhe. Jafo atoa ufafanuzi juu ya utatuzi wa ukosefu wa chumba cha kuhifadhia maiti katika kituo cha afya cha Chunya; https://youtu.be/tv3PZfs8ywU

SIMU.tv:  Je ni nini hatma ya msongamano mkubwa ya wajawazito ndani ya wodi katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro? Mhe. Abood ahoji; https://youtu.be/_UP_AznxmVA

SIMU.tv:  Mbunge wa Nzega mjini Mhe. Bashe aitaka serikali kuanzisha masomo kwa kidato cha tano katika shule ya Sekondari Bulindi iliyoanzishwa kwa nguvu ya Mbunge; https://youtu.be/5FoM0Nyc6xI

SIMU.tv:  Haya hapa majibu ya serikali juu ya usambazaji wa nishati ya umeme katika vijiji vyote nchini vyenye kiwango kidogo cha usambazaji; https://youtu.be/ymeI3UQec2U

SIMU.tv:  Mbunge wa Lushoto Mhe. Shekilindi aiomba serikali kuanzisha mahakama ya ardhi katika wilaya ya Lushoto ikiwa tayari majengo yapo; https://youtu.be/iOB0AhtmAbs

SIMU.tv:  Je serikali ina mpango gani wa kusambaza maji ya mradi wa Bumbwiji kwenye vijiji vyote vinavyozunguka mradi huo huko Nachingwea? https://youtu.be/21uk9JNDZmw

SIMU.tv:  Mbunge wa Muheza aibana serikali na kutaka mustakabali wa malipo ya stahiki za wakulima 1128 wa msitu wa Delema Muheza; https://youtu.be/HLaHopoG64Y

SIMU.tv:  Yafahamu malengo na mkakati wa utekelezaji wa mpango wa kudhibiti ukatili dhidi ya watoto wa mwaka 2013/2016; https://youtu.be/9_3gA5HkeUk

Regards,
Felister Joseph.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU