SIMU.tv: Naibu Waziri Mhe. Jafo atoa ufafanuzi juu ya utatuzi wa ukosefu wa chumba cha kuhifadhia maiti katika kituo cha afya cha Chunya; https://youtu.be/tv3PZfs8ywU
SIMU.tv: Je ni nini hatma ya msongamano mkubwa ya wajawazito ndani ya wodi katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro? Mhe. Abood ahoji; https://youtu.be/_UP_AznxmVA
SIMU.tv: Mbunge wa Nzega mjini Mhe. Bashe aitaka serikali kuanzisha masomo kwa kidato cha tano katika shule ya Sekondari Bulindi iliyoanzishwa kwa nguvu ya Mbunge; https://youtu.be/5FoM0Nyc6xI
SIMU.tv: Haya hapa majibu ya serikali juu ya usambazaji wa nishati ya umeme katika vijiji vyote nchini vyenye kiwango kidogo cha usambazaji; https://youtu.be/ymeI3UQec2U
SIMU.tv: Mbunge wa Lushoto Mhe. Shekilindi aiomba serikali kuanzisha mahakama ya ardhi katika wilaya ya Lushoto ikiwa tayari majengo yapo; https://youtu.be/iOB0AhtmAbs
SIMU.tv: Je serikali ina mpango gani wa kusambaza maji ya mradi wa Bumbwiji kwenye vijiji vyote vinavyozunguka mradi huo huko Nachingwea? https://youtu.be/21uk9JNDZmw
SIMU.tv: Mbunge wa Muheza aibana serikali na kutaka mustakabali wa malipo ya stahiki za wakulima 1128 wa msitu wa Delema Muheza; https://youtu.be/HLaHopoG64Y
SIMU.tv: Yafahamu malengo na mkakati wa utekelezaji wa mpango wa kudhibiti ukatili dhidi ya watoto wa mwaka 2013/2016; https://youtu.be/9_3gA5HkeUk
Regards,
Felister Joseph.
Preview YouTube video Uhaba Wa Vyumba Vya Kuhifadhia Maiti Hospitalini
Preview YouTube video Msongamano Wa Wagonjwa Katika Wodi Za Wajawazito.
Preview YouTube video Bashe Aibana Serikali - Elimu Ya Sekondari.
Preview YouTube video Usambazaji Wa Nishati Ya Umeme Vijijini.
Preview YouTube video Mahakama Ya Ardhi Katika Wilaya Ya Lushoto
Preview YouTube video usambazaji wa nishati ya umeme vijijini
Preview YouTube video malipo stahiki ya wakulima 1128 muheza
Preview YouTube video Mpango Wa Kudhibiti Ukatili Kwa Watoto
Comments