YALIYOJIRI BUNGENI LEO June 27, 2016

SIMU.tv:  Naibu waziri wa fedha na Mipango Dr. Ashatu Kijaji awasilisha hati za uhamishaji fedha namba 1 na namba 2 za mwaka 2015/2016;https://youtu.be/cRVCEqHo-OU

SIMU.tv:  Je, serikali ya awamu ya tano ina mpango gani wa kukamilisha ahadi za miradi iliyoachwa na serikali ya awamu ya 4? Dkt. Possy afafanua; https://youtu.be/ZcBPAZqPtYc

SIMU.tv:  Mhe. Kaunje aihoji sababu ya jimbo la Lindi mjini kuwa na eneo la bahari ya hindi lenye urefu wa 112km huku eneo hilo likiwa halina mchango wowote kwa pato la taifa; https://youtu.be/2w8Tm6UXmiI

SIMU.tv:  Haya hapa majibu ya serikali juu ya upatikanaji wa maji katika vijiji ambavyo vimo ndani ya KM 5 ya bomba kuu la mradi wa maji wa Kashaswa; https://youtu.be/zJ53oeKdnBQ

SIMU.tv:  Mbunge wa Korogwe vijijini Mhe. Steven Ngonyani aibana serikali na kuitaka ikamilishe mradi mkubwa wa maji wa wilayani Momba;https://youtu.be/Xt3WQ1vvuZ8

SIMU.tv:  Mhe. Zawadi Koshuma aihoji serikali juu ya mpango wake wa kuongeza barabara zenye kiwango cha lami jijini Mwanza kama ilivyoahidiwa na Rais; https://youtu.be/7ANTkpxwN00

SIMU.tv:  Mbunge wa Mbinga vijijini awatetea wananchi wake na kutaka kujua hatma ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami wilayani Mbinga; https://youtu.be/EoK2KST7_gs

SIMU.tv:  Mhe. Amina Mollel ahoji mkakakati wa serikali katika kutatua tatizo la miundombinu isiyo rafiki kwa walemavu ili waweze kupata elimu bora; https://youtu.be/A0hYh6tHK1Q


Regards,
Felister Joseph.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*