YALIYOJIRI BUNGENI LEO TV

SIMU.tv:  Mbunge wa viti maalum Mhe. Salome Makamba aitaka serikali kuzuia kuingizwa kwa vitendea kazi hatarishi vinavyohatarisha maisha ya wafanyakazi wa migodini. https://youtu.be/KL7TALHZ9FU

SIMU.tv:  Mhe. Jafo atoa ufafanuzi juu ya utatuzi wa suala la uhaba wa miundombinu rafiki na uhaba wa maji kwa mji mdogo wa Mbalizi mkoani Mbeya. https://youtu.be/LSsa8JqkNeg

SIMU.tv:  Mhe. Augustino Masele aitaka serikali kuunga mkono juhudi za wananchi katika kuimarisha sekta ya afya vijijini ili kuboresha huduma za afya.https://youtu.be/naGtE3hdg-k

SIMU.tv:  Hizi hapa sababu zilichangia ubalozi wa Tanzania kufungua ubalozi wake nchini Israel baada ya kukata mahusiano yake hapo nyuma.https://youtu.be/g8a6nz-ZVJo

SIMU.tv:  Mhe. Lucy Michael aihoji serikali juu ya ukamilishaji wa ujenzi wa barabara ya Njombe hadi Makete kwa kiwango cha lami.https://youtu.be/oGw1cDCkK90

Regards,
Felister Joseph.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.