YALIYOJIRI HII LEO JUNE 24, 2016

SIMU.tv:  Mbunge wa Mchinga aiomba serikali kuyagawa majimbo ya Mchinga na Mtama yanayounda halimshauri ya Lindi na kuwa na halmashauri 2 zinazojitegemea. https://youtu.be/9kDAmh7XLGI

SIMU.tv:  Mbunge wa Pangani mhe. Aweso autupia mzigo serikali kutatua kero za maji katika jimbo la Pangani ili kuimarisha uchumi kwa wananchi. https://youtu.be/0sGGj8GdA6A
SIMU.tv:  Haya hapa majibu ya serikali juu ya utata wa migogoro ya maeneo ya wananchi na kambi za jeshi la polisi.  https://youtu.be/JwCpoLmeD8c

SIMU.tv:  Hizi hapa sababu zilichangia ubalozi wa Tanzania kufungua ubalozi wake nchini Israel baada ya kukata mahusiano yake hapo nyuma.https://youtu.be/g8a6nz-ZVJo  

SIMU.tv:  Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo Mhe. Nape Nnauye atoa ufafanuzi juu ya kutosikika kwa radio ya taifa TBC Nachingwea.https://youtu.be/qE30WBRzp84    

SIMU.tv:  Naibu waziri wa kilimo atoa ufafanuzi juu ya changamoto ya upotevu wa vocha za ruzuku za pembejeo unaofanywa na watumishi wasio waadilifu.https://youtu.be/FpwfXX9tZRw

SIMU.tv:  Haya hapa maamuzi ya serikali dhidi ya utoaji wa kipaumbele kwa wakulima kuchagua mbolea mahususi kwa ajili ya mazao.https://youtu.be/b3h_5j2HOdY
  
                                                                                                                                                                                                

HABARI.

SIMU.tv:  Serikali itandelea kutumia tafiti mbalimbali  za wataalamu wa ndani ili kutunga sera za fya ya ukimwi na kilimo: https://youtu.be/FRxuAMI6if8

SIMU.tv:  Waziri mkuu Mh.Kassim Majaliwa amesema serikali haitasita kumchukulia hatua kali za kisheria mtumishi atakae bainika  kufuja pesa za umma: https://youtu.be/Fk6T4kmpiF8

SIMU.tv:  Wakazi wa Chaani, Donge na Kisongoni visiwani Zanzibar wanatarajia kufaidika na mradi wa maji safi na salama kutoka katika jamhuri ya China:https://youtu.be/SloZBHR_99o    

SIMU.tv:  Wanawake wajane nchini wameungana na wenzao kuadhimisha siku ya wajane duniani na wameiyomba serikali kufanya marekebisho ya sheria za mirathi: https://youtu.be/bhTCemYOxsI

SIMU.tv:  Fahamu mambo kadha wa kadha kuhusu ushirikiano uliopo baina ya waislamu na wakristo kuhusu vita dhidi ya shetani: http://simu.tv/4kjcU3E

SIMU.tv:  Yajue mambo mengi kutoka kwa wajane wa mkoa wa Shinyanga wakukufahamisha kuhusu maadhimisho ya siku ya wajane duniani:http://simu.tv/mcS0S0H

Regards,
Felister Joseph.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA