SIMU.tv: Mbunge wa Mchinga aiomba serikali kuyagawa majimbo ya Mchinga na Mtama yanayounda halimshauri ya Lindi na kuwa na halmashauri 2 zinazojitegemea. https://youtu.be/9kDAmh7XLGI
SIMU.tv: Mbunge wa Pangani mhe. Aweso autupia mzigo serikali kutatua kero za maji katika jimbo la Pangani ili kuimarisha uchumi kwa wananchi. https://youtu.be/0sGGj8GdA6A
SIMU.tv: Haya hapa majibu ya serikali juu ya utata wa migogoro ya maeneo ya wananchi na kambi za jeshi la polisi. https://youtu.be/JwCpoLmeD8c
SIMU.tv: Hizi hapa sababu zilichangia ubalozi wa Tanzania kufungua ubalozi wake nchini Israel baada ya kukata mahusiano yake hapo nyuma.https://youtu.be/g8a6nz-ZVJo
SIMU.tv: Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo Mhe. Nape Nnauye atoa ufafanuzi juu ya kutosikika kwa radio ya taifa TBC Nachingwea.https://youtu.be/qE30WBRzp84
SIMU.tv: Naibu waziri wa kilimo atoa ufafanuzi juu ya changamoto ya upotevu wa vocha za ruzuku za pembejeo unaofanywa na watumishi wasio waadilifu.https://youtu.be/FpwfXX9tZRw
SIMU.tv: Haya hapa maamuzi ya serikali dhidi ya utoaji wa kipaumbele kwa wakulima kuchagua mbolea mahususi kwa ajili ya mazao.https://youtu.be/b3h_5j2HOdY
HABARI.
SIMU.tv: Serikali itandelea kutumia tafiti mbalimbali za wataalamu wa ndani ili kutunga sera za fya ya ukimwi na kilimo: https://youtu.be/FRxuAMI6if8
SIMU.tv: Waziri mkuu Mh.Kassim Majaliwa amesema serikali haitasita kumchukulia hatua kali za kisheria mtumishi atakae bainika kufuja pesa za umma: https://youtu.be/Fk6T4kmpiF8
SIMU.tv: Wakazi wa Chaani, Donge na Kisongoni visiwani Zanzibar wanatarajia kufaidika na mradi wa maji safi na salama kutoka katika jamhuri ya China:https://youtu.be/SloZBHR_99o
SIMU.tv: Wanawake wajane nchini wameungana na wenzao kuadhimisha siku ya wajane duniani na wameiyomba serikali kufanya marekebisho ya sheria za mirathi: https://youtu.be/bhTCemYOxsI
SIMU.tv: Fahamu mambo kadha wa kadha kuhusu ushirikiano uliopo baina ya waislamu na wakristo kuhusu vita dhidi ya shetani: http://simu.tv/4kjcU3E
SIMU.tv: Yajue mambo mengi kutoka kwa wajane wa mkoa wa Shinyanga wakukufahamisha kuhusu maadhimisho ya siku ya wajane duniani:http://simu.tv/mcS0S0H
Regards,
Felister Joseph.
Preview YouTube video Mgawanyo Wa Lindi Kuwa Na Halmashauri 2 Zinazojitegemea
Preview YouTube video Utatuzi Wa Kero Za Maji Kwa Wananchi Nchini
Preview YouTube video Migogoro Ya Mipaka Ya Jeshi Na Wananchi
Preview YouTube video Sababu Za Tanzania Kufungua Ubalozi Nchini Israel
Preview YouTube video Kizungumkuti Cha TBC Radio Wilayani Nachingwea
Preview YouTube video Upotevu Wa Vocha Za Ruzuku Za Pembejeo
Preview YouTube video Uhuru Kwa Mkulima Kuchagua Mbolea Mahususi
Preview YouTube video Serikali Kuendelea Kutumia Tafiti Za Ndani
Preview YouTube video Waziri Mkuu Achimba Mkwala Watakao Fuja Pesa Za Umma
Preview YouTube video Visiwani Zanzibar Wafaidika Na Maji Kutoka China
Preview YouTube video Siku Ya Wajane Duniani
Comments