Waziri mkuu Mh.Kassim Majaliwa amewaagiza watendaji wote wa serikali kuhakikisha michango yote ya madawati inawafikia walengwa: https://youtu.be/huuvjoo9qsY
Wizara ya mambo ya ndani imeliagiza jeshi la polisi nchini kujipanga kikamilifu ili kukabiliana na vitendo ya mauaji:https://youtu.be/gMBbsFCxh_w
Gari la mwendokasi likiwa katika harakati ya kuikwepa bodaboda limemgonga mlemavu aliyekuwa akivuka barabara maeneo ya kariakoo: https://youtu.be/sTEK269NSTg
Rais Magufuli amefanya mabadiliko katika baraza la mawaziri na kumteuwa Waziri Mwigulu Nchemba kuwa waziri wa wambo ya ndani: https://youtu.be/nscSn743vq0
Maelfu ya wanachama wa club ya soka Yanga wamejitokeza katika zoezi la kupiga kura na kuchagua viongozi wa club hiyo; https://youtu.be/8K8L5Mb7dMw
Kocha wa timu ya Yanga amesema wanatarajia kuondoka kesho na kikosi chake kwa ajili ya kujiandaa na kombe la shirikisho barani Afrika: https://youtu.be/zOkWRjfzMMA
Mashindano ya mataifa barani Ulaya yamefunguliwa jana nchini Ufaransa ambapo mataifa 24 yanatarajia kuminyana kwa siku 30; https://youtu.be/HFOr1QWz9cM
Rais Magufuli amewateua Mhe. Charles Tizeba kuwa waziri wa kilimo, mifugo na uvuvi huku Mhe. Mwigulu Nchemba akiteuliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi. https://youtu.be/NTeYRenzP5w
Waziri mkuu Kassim Majaliwa azitaka halmashauri zote nchini kuhakikisha mbao zilizokamatwa kwa kukiuka kanuni mbalimbali zitengenezewe madawati. https://youtu.be/ihTjTQfHI-I
Mkuu wa mkoa wa tabora Aggrey Mwanri amefunga kiwanda cha mbao cha Kirungi Kirua kilichopo wilaya ya Kaliua na kuagizwa kukamatwa kwa mmiliki wa kiwanda hicho na maafisa misitu wa wilaya hiyo.
Waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amemtaka mkandarazi anayejenga daraja la mto Sibiti linalounganisha mkoa wa Singida na Simiyu kuendelea na ujenzi wa daraja hilo uliokuwa umesimama kwa takribani miaka 3. https://youtu.be/eU_9M7fjnYQ
Waumini wa dini ya kiislamu mkoani Pwani wamelaani vitendo vya mauaji ya kikatili yaliyotokea hivi karibuni katika mikoa ya Tanga na Mwanza. https://youtu.be/6RlhAaTGgF0
Waziri wa viwanda na biashara Mhe. Charles Mwijage ameagiza makampuni yaliyopewa dhamana ya kusambaza sukari nchini kutumia magari mengi zaidi kusafirisha bidhaa hiyo https://youtu.be/yGocPulmm5E
Baraza la manispaa limekamata vyakula vya biashara vya mama ntilie ambavyo zimepigwa marufuku kutokana na kuwepo kwa Kipindupindu. https://youtu.be/3k-QyxD4taQ
TBC: Hatimaye aliyekuwa mwanamasumbwi nguli duniani marehemu Muhammad Ali amezikwa katika makaburi ya mji aliozaliwa. https://youtu.be/4aD8KupvpZE
Regards,
Felister Joseph.
Preview YouTube video BOT Yachangisha Fedha Za Madawati
Preview YouTube video Jeshi La Polisi Lajipanga Upya
Preview YouTube video Ajali Ya Basi La Mwendokasi Kariakoo
Preview YouTube video Waziri Mwigulu Nchemba Achukua Nafasi Ya Kitwanga
Preview YouTube video Maelfu Wajitokeza Kuchagua Viongozi Yanga
Preview YouTube video Yanga Yajiandaa Kuacha Katika Shirikisho Barani Afrika
Preview YouTube video Mataifa 24 Yanatarajia Kuminyana Nchini Ufaransa
Preview YouTube video Rais Magufuli Awateua Tibeza Na Nchemba Kuwa Mawaziri Wa Wizara
Preview YouTube video Majaliwa Azikaba Koo Halmashauri Nchini Madawati Mashuleni
Preview YouTube video Kiwanda Cha Mbao Cha Kirungi Kirua Chafungiwa
Preview YouTube video Prof Mbarawa Amkaba Koo Mkandarasi Wa Daraja La Mto Sibiti
Preview YouTube video Waislamu Pwani Walaani Vitendo Vya Mauaji mwanza Na tanga
Preview YouTube video Mwijage Ayaonya Makampuni Yalipewa Dhamana Ya Kusambaza Sukari
Preview YouTube video Baraza La Manispaa Lateketeza Vyakula Vya Mama Ntilie new
Preview YouTube video Marehemu Muhammad Ali Azikwa Leo
Comments