YALIYOJIRI KATIKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI LEO June 26, 2016

SIMU.tv: Wakazi Mabwepande waiomba serikali kuingilia kati mgogoro wa ardhi uliopo baina yao na waziri mkuu mstaafu Mhe.Frederick Sumaye; https://youtu.be/0_xO0V-PGD0

SIMU.tv: Wananchi wa kata ya Makanyagio wajitolea kujenga barabara kwa lengo la kurahisisha shughuli za usafirishaji;https://youtu.be/50D8luyV-zg

SIMU.tv: Timu ya taifa ya Chile yanyakua taji la michuano ya Copa America 2016 Kwa kuitandika Argentina kwa jumla ya penati 4-2;https://youtu.be/6nT_wPZbVQc

SIMU.tv: Waziri wa habari Mh.Nape Nnauye awataka watanzania kuishangilia kwa timu ya Yanga katika mchezo wake dhidi ya TP Mazembe;https://youtu.be/ckCETVgYh0c

SIMU.tv: wananchi wa kata ya Katente wilayani Bukombe waiomba serikali kuingilia kati mgogoro wa ardhi uliopo baina yao na mwekezaji;https://youtu.be/EB7O8L5DRNI

SIMU.tv: Rais Dkt: John Magufuli awataka viongozi wa Baraza Kuu la Waislam Tanzania kuendelea kuhubiri amani na umoja nchini;https://youtu.be/p1ksybRyzFQ

SIMU.tv: Timu ya taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 yainyoa timu ya vijana ya shelisheli kwa jumla ya goli tatu kwa sufuri;https://youtu.be/v3yS-ggm0z0

SIMU.tv: Jifunze mambo kadha wa kadha ya msingi  kuhusu suala zima la elimu kwa mlipaji kodi  na ugawajibu wa mashine wa EFD:https://youtu.be/vLcpFXS8hhM

SIMU.tv: Fahamu mambo mengi kutoka kwa wadau wa biashara wakikuelimisha  kuhusu Uzunduzi ma maonyesho ya kitaifa ya biashara:https://youtu.be/8n5Bg193B50

SIMU.tv: Fahamu mambomengi ya msingi  kutoka katika taasisi ya kuwawezesha vijana ususani  kuwawezesha vijana baada ya mafunzo mbalimbali: https://youtu.be/IioKMVw48NM


Regards,
Felister Joseph.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA