YALIYOJIRI KATIKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI LEO June 28, 2016.

SIMU.tv: Mbunge wa Maswa Mashariki Mhe.Stanslaus Haroun Nyongo akiihoji serikali kuhusu kupandishwa hadhi kwa hospitali ya wilaya ya Maswa; https://youtu.be/wdQie78gItA

SIMU.tv: Majibu ya serikali kutoka kwa Naibu waziri  wa TAMISEMI Mhe.Suleiman Jafo kuhusu kupandishwa hadhi kwa mamlaka ya miji wa Namanyele; http://simu.tv/C3drITB

SIMU.tv: Naibu waziri Mhe.Suleiman Jafo akijibu swali la Mbunge Mhe.Ezekiel Maige kuhusu pesa za miradi ya maendeleo halmashauri ya Msalala; https://youtu.be/H0hovhHi8Ys

SIMU.tv: Mbunge wa Makambako Mhe. Deo Sanga aibana serikali kuhusu ukamilishaji wa miradi ya maji kati miji ya Manga na Mtulingara;https://youtu.be/jNbRaHW-tKc

SIMU.tv: Je ni lini mradi mkubwa wa maji wilayani Longido utaanza rasmi ambao utakuwa ni mkombozi kwa wananchi wote wa wilaya ya Longida? Eng. Isack Kamwelwe afafanua; https://youtu.be/HnS42Eh7gu8


NEWS.

SIMU.tv: Serikali yasema itawafukuza kazi warajisi wa vyama vya ushirika nchini watakao shindwa kusimamia vyma vyama vyao;https://youtu.be/ZC8LbGDUtv8

SIMU.tv: Jeshi la polisi mkoani Tabora lafanikiwa kukamata Bunduki nne  zilizokuwa zikitoroshwa kutoka Kaliua kwenda sehemu nyingine mkoani humo; https://youtu.be/ph6P7Exy_XA

SIMU.tv: Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda amsimamisha kazi mhandisi Josephat Shehemba kwa kushindwa kuwajibika;https://youtu.be/9_DzOSOqzIQ

SIMU.tv: Mahakama kuu kanda ya Iringa yataja tarehe ya hukumu  ya kesi aliyekuwa mwandishi wa kituo cha Channel Ten Marehemu Daudi Mwangosi; https://youtu.be/M2oyNs0Y2Gg

SIMU.tv: Mshindi wa UMISETA wa jumla  kwa mwaka anatarajia kwenda nchini Ufaransa kushiriki mashindano maalumu ya kimataifa ya soka:https://youtu.be/FbRjG08-fmU

SIMU.tv: Mechi ya kombe la shirikisho barani Afrika inatarajiwa kuchezwa leo baina ya Yanga na TP Mazembe katika uwanja wa taifa jijini Dar Es Salaam: https://youtu.be/mHa7B8bWQTU

SIMU.tv: Fahamu mambo mengi ya msingi  yatakayokujenga  kuhusu tamasha kubwa sana la vijana la twenzetu kwa Yesu:https://youtu.be/5p1R1qx0zLI

SIMU.tv: Jifunze mambo mbalimbali kutoka kwa mdau wa elimu akikufahamisha kuhusu kukaa kwenye madawadati na faida zake kwa wanafunzi: https://youtu.be/koljLR0cf3k

SIMU.tv: Yajue  mambo mengi kutoka kwa mwenyekiti wa jukwaa la katiba akikufafanulia kuhusu mchakato wa katiba mpya: https://youtu.be/_xjV_2MtaqE


Regards,
Felister Joseph.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.