HATARI LAKINI SALAMA TAZAMA MTOTO WA MIAKA MITATU AKIOGELEA ZIWA NYASA

Pamoja na  kuwa  ziwa  Nyasa  ni  ziwa  lenye mawimbi makali  kuliko maziwa yote nchini mtoto   huyu anayekadiliwa  kuwa na miaka mitatu mkazi wa Manda wilaya ya  Ludewa mkoani Njombe akiogelea  bila hofu katika  ziwa  hilo kama alivyonaswa na kamera ya matukiodaima hivi karibuni
Amina  mtoto  wa Nyoka  ni Nyoka  kwani  watoto  wanaoishi mwambao mwa  ziwa  nyasa  hufundishwa  kuogelea  ziwani wakiwa na mwaka mmoja

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA