KONGAMANO LA VIONGOZI WASTAAFU AFRIKA (AFRICAN LEADERSHIP FORUM 2016) LAMALIZIKA JIJINI DAR ES SALAAM
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Benjamin William Mkapa akizungumza na washiriki (hawapo pichani) wakati akifunga wa Kongamano la Viongozi wastaafu wa Afrika 2016 (African Leadership Forum 2016) lililoanza jana na kumalizika leo jijini Dar Es Salaam katika Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro.(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)
Rais Mstaafu wa Namibia Mh. Hifikepunye Pohamba akifuatilia mada katika kongamano hilo Viongozi wastaafu wa Afrika 2016 (African Leadership Forum 2016) lililoanza jana na kumalizika leo jijini Dar es salaam
Viongozi na washiriki pa oja na waalikwa wakiendelea na kongamano hilo le kabla ya kumalizika na kufungwa rasmi leo.
Rais Mstaafu wa Tanzania Mh Benjamin William Mkapa katikati akiwa na Ali Mufuruki mmoja wa washiriki wa kongamano hilo pamoja na Dk. Elsie Kanza wakifuatilia mada katika kongamano hilo.
Rais Mstaafu wa Msumbiji Mh. Armando Guebuza kulia ni miongoni mwa marais wastaafu waliohudhuria katika kongamano hilo.
Comments