Ulinzi wa polisi viwanja vya mahakama kuu kanda ya Iringa leo kabla ya mtuhumiwa wa mauwaji kufikishwa
Wananchi wakiwa foleni kukaguliwa kabla ya kuingia mahakamani leo
Mtuhumiwa wa mauwaji ya Mwangosi akipakiwa kwenye gari za FFU
Msafala wa gari za FFU zilizomsindikiz askari mwenzao anayekutwa na kosa la kuua bila kukusudia leo
Askari wa FFU wakitoka mbio mahakamani hapo
Wananchi na wanahabari wakitoka mahakamani hapo
wakili kutoka mtandao wa watetezi wa haki za binadamu ((THRDC)Benedict Ishabakaki akizungumza na wanahabari nje ya viwanja vya mahakamani leo
wakili kutoka mtandao wa watetezi wa haki za binadamu ((THRDC)Benedict Ishabakaki akizungumza na wanahabari nje ya viwanja vya mahakamani leo
Siku ambayo mwanahabari Daudi Mwangosi alipouwawa
Askari hao wakimtoa mahakamani hapo leo mtuhumiwa wa mauwaji ya Mwangosi
Marehemu Mwangosi enzi za uhai wake
………………………………………………………………………………………………………
Na MatukiodaimaBlog Iringa
MAHAKAMA kuu kanda ya Iringa imemtia hatiani kwa kosa la kuua bila kukusudia askari Polisi Kikosi cha Kutuliza Ghasia ( FFU )Iringa G 58 Pacificius Cleophace Simon (27) anayetuhumiwa kuuua
mwaahabari Daudi Mwangosi mwaka 2012 katika kijiji cha Nyololo wilaya ya Mufindi.
mwaahabari Daudi Mwangosi mwaka 2012 katika kijiji cha Nyololo wilaya ya Mufindi.
Huku wakili upande wa jamhuri katika kesi hiyo Adolph Mwaganda akiiomba mahakama hiyo kutoa
hukumu ya kifungo cha maisha jela kwa askari huyo ambae hata hivyo alisema upande wa jamhuri hauna
taarifa za makosa yoyote aliyopata kuyafanya.
hukumu ya kifungo cha maisha jela kwa askari huyo ambae hata hivyo alisema upande wa jamhuri hauna
taarifa za makosa yoyote aliyopata kuyafanya.
Hata hivyo mahakamani hiyo imesema adhabu kwa mtuhumiwa huyo kutokana na kupatikana na kosa
hilo la kuua bila kukusudia itatolewa Julai 27 majira ya saa 4 asubuhi mwaka huu.
hilo la kuua bila kukusudia itatolewa Julai 27 majira ya saa 4 asubuhi mwaka huu.
Jaji Dkt Paul Kiwelo ambaye anayesikiliza kesi hiyo alisema mahakakamani hapo leo kuwa kati
ya vielelezo vitano vyote vilivyoleta kama ushahidi mahakamani hapo kwa ajili ya kesi hiyo namba 54 ya
mwaka 2013 ni kielelezo kimoja pekee cha ungamo kwa mlinziwa amani ambacho ndicho hakukuwa na shaka na ungamo hilo ndilo lililomtia hatiani asikari
huyo.
ya vielelezo vitano vyote vilivyoleta kama ushahidi mahakamani hapo kwa ajili ya kesi hiyo namba 54 ya
mwaka 2013 ni kielelezo kimoja pekee cha ungamo kwa mlinziwa amani ambacho ndicho hakukuwa na shaka na ungamo hilo ndilo lililomtia hatiani asikari
huyo.
Alivitaja vielelezo vilivyopelekwa kama ushahidi kuwa ni Ramani ya eneo la tukio,ripoti ya
tabibu ,ungamo la mlinzi wa amani ,silaha aliyoitumia na rejista ya silaha .
tabibu ,ungamo la mlinzi wa amani ,silaha aliyoitumia na rejista ya silaha .
Hata hivyo alisema kuwa idadi ya mashahidi katika kesi sioinayowezesha kumtia hatiani
mtuhumiwa ila kinachomtia hatiani ni aina ya ushahidi wenye uhakika ambao unatolewa na kuongeza kuwa katika kesi hiyo upande wa jamhuri ulishindwa kuleta mashahidi stahiki zaidi ya kuwa na mashahidi ambao ukiacha mlinzi wa amani mashahidi wote ushahidi wao una masahaka na haoonyeshi kama mtuhumiwa huyo ndio aliyehusika na mauwaji .
mtuhumiwa ila kinachomtia hatiani ni aina ya ushahidi wenye uhakika ambao unatolewa na kuongeza kuwa katika kesi hiyo upande wa jamhuri ulishindwa kuleta mashahidi stahiki zaidi ya kuwa na mashahidi ambao ukiacha mlinzi wa amani mashahidi wote ushahidi wao una masahaka na haoonyeshi kama mtuhumiwa huyo ndio aliyehusika na mauwaji .
“ Niseme baada ya kusikiliza ushahidi wote …..mtuhumiwa
kaonekana na kosa la …
kaonekana na kosa la …
Comments