MALI ZA MASTAA EXCLUSIVE: Nyumba ya milioni 700 wanayoijenga Navy Kenzo


Navy Kenzo ni kundi la muziki wa bongofleva lenye makazi yake Dar es salaam likiundwa na Wanandoa watarajiwa, Aika na Nahreel ambapo hivi juzi walipata dili la kutokea kwenye mabango ya matangazo ya kampuni ya simu.
Ni wasanii ambao pia wamezikusanya pesa zao kutokana na jasho la muziki wanaoufanya ikiwemo tour ya kamatia chini ambayo ni smash hit yao iliyohewani sasa hivi, tazama hii video hapa chini kupata details zote.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI