NAIBU SPIKA, DKT. TULIA ACKSON AFUNGUA KIKAO CHA UONGOZI CHA CHAMA CHA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA AFRIKA


Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kulia) akifungua Kikao cha Uongozi cha Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Afrika kilichofanyika jijini Dar es Salaam, 02 July, 2016.
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (wa tatu toka kushoto) akiongea na Viongozi wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Afrika wakati wa Kikao cha Uongozi kilichofanyika jijini Dar es Salaam, 02 July, 2016.
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kulia) akimweleza jambo Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji ya CPA Kanda ya Afrika, Mhe. Lindiwe Maseko (Mb) (kushoto) kutoka Afrika Kusini wakati wa Kikao Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Afrika wakati waKikao cha Uongozi cha Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Afrika kilichofanyika jijini Dar es Salaam, 02 July, 2016.
Baadhi ya Wajumbe na Sekretarieti ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Afrika wakifuatilia agenda za kikao kilichokuwa kikiongozwa naMwenyekiti wa Kamati ya Utendaji ya CPA Kanda ya Afrika, Mhe. Lindiwe Maseko (Mb) wakati wa Kikao cha Uongozi cha Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Afrika kilichofanyika jijini Dar es Salaam, 02 July, 2016.
Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji ya CPA Kanda ya Afrika, Mhe. Lindiwe Maseko (Mb) (aliyekaa mbele) akiongea Viongozi
wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Afrika wakati wa Kikao cha
Uongozi kilichofanyika jijini Dar es Salaam, 02 July, 2016.

Sekretarieti ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Afrika wakifuatilia agenda za kikao kilichokuwa kikiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji ya CPA Kanda ya Afrika, Mhe. Lindiwe Maseko (Mb) wakati wa Kikao cha Uongozi cha Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Afrika kilichofanyika jijini Dar es Salaam, 02 July, 2016.
Baadhi ya Wajumbe walioshiriki katika Kikao cha Kikao cha Uongozi cha Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Afrika wakifuatilia agenda ya kikao hico kilichofanyika jijini Dar es Salaam, 02 July, 2016.
Wajiumbe wa Kikao cha Uongozi wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Afrika wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (wa tatu kulia waliokaa mbele) mara baada ya kumalizika kwa kikao hicho kilichofanyika jijini Dar es Salaam, 02 July, 2016.
(Picha na Ofisi ya Bunge)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*