Baadhi ya wakurugenzi na wakuu wa idara wakiwa kwenye semina hiyo ya siku tatu iliyoanza LEO katika hospitali hiyo.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru (kulia) akifuatilia mada katika semina hiyo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Fedha, Gerald Jeremia akiwa katika semina hiyo LEO. Katikati ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Wateja, Aminieli Aligaesha akisikiliza jambo kwenye semina hiyo.
Mwenyekiti wa Bodi ya Zabuni katika hospitali hiyo, Dk Faraja Chiwanga akifuatilia mada kwenye semina hiyo.
Picha na John Stephen, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)
Comments