SERIKALI YAZITAKA FAMILIA ZENYE UWEZO KUTOKWEPA JUKUMU LA KULEA WAZEE NA WATU WENYE ULEMAVU.




 Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga akimkabidhi moja ya Mzee katika kambi ya wazee ya Sukamahela boksi la sabuni kwa niaba ya wazee katika kituo hicho chenye jumla ya wazee 67.
 Viongozi wa Kambi ya kulea Wazee ya Sokamahela wakimuonesha Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga baadhi ya nyumba wazazoishi wazee ambapo sehemu ya nyumba hizo zipo kwenye hali mbaya za kuhitaji marekebisho.
 Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga akisaini kitabu cha wageni alipotembelea kambi ya kulea wazee ya SukaMahela iliyopo Wilayani Manyoni Mkoani Singida, Kulia ni Bw. Richard Mallya Mkurugenzi Idara ya Ununuzi na Ugavi kutoka Wizara hiyo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA