TAZAMA PICHA ZA BARAKA DA PRINCE NA NAJ ULAYA



2
Naj ameungana na mpenzi wake, Barakah Da Prince nchini Afrika Kusini walikoenda pamoja na mambo mengine kushoot video.

Barakah na Alikiba wapo nchini humo tangu wiki iliyopita ambako pia walidaiwa kuvamiwa na watu wenye silaha na kuporwa mali. Inaonekana kuwa mastaa hao sasa wamerejea tena barabarani huku Naj akimsindikiza Barakah kwenye interview za redio na TV nchini humo.
1
“Keep rocking rockstar, mama’s proud of you,” ameandika Naj kwenye picha ya Barakah aliyoiweka Instagram.
3

Tayari hitmaker huyo wa ‘Siachani Nawe’ amefanya interview na MTV Base, SABC na 5 FM na Naj ameonekana kuwa naye bega kwa bega.
Kwenye picha nyingine akiwa na mpenzi wake huyo, Naj ameandika: Forever by your side.”
4

6

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA