Waombolezaji wakibeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Kaimu Mhariri wa Michezo wa Gazeti la Majira Elizabeth Mayemba kuingia nyumbani kwake Tabata Kisukuru kwa ajili ya kuagwa kisha kupelekwa Morogoro kwa ajili ya mazishi
Msemaji wa Klabu ya Y anga, Jerry Muro (kulia) na Msemaji wa Klabu ya Simba, Haji Manara ambao ni miongoni mwa waombolezaji wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Kaimu Mhariri wa Michezo wa Gazeti la Majira, Elizabeth Mayemba, nyumbani kwa marehemu Tabata Kisukulu, Dar es Salaam
Kama kawaida yao wakikutana lazima wapigane vijembe.
Comments