SIMU.tv: Fahamu mengi kutoka jeshi la wananchi Tanzania JWTZ wakikujuza kuhusu mazoezi ya kijeshi yanayolenga katika kujenga amani:https://youtu.be/5I-YhXmnReg
SIMU.tv: Serikali yafuta usajili wa magazeti 473 kwa kukiuka sheria ya viapo vya usajili wa magazeti nchini; https://youtu.be/hnjm6ooOkNM
SIMU.tv: Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. Charles Kizeba aagiza kusimamishwa kazi kwa kaimu mkurugenzi idara ya usalama wa chakula kwa kosa la kutoa vibali vya kusafirisha chakula nje ya nchi. https://youtu.be/1fQN1iwbzpg
SIMU.tv: Jeshi la polisi jijini Dar es Salaam linawashikilia watu wanne kwa kosa la kujihusisha na utoaji leseni za biashara katika manispaa ya Ilala;https://youtu.be/bsszzft1BWQ
SIMU.tv: Baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi CCM mkoa wa Lindi watembelea shule ya sekondari Lindi iliyoteketea kwa moto;https://youtu.be/kEr4cbO5HgM
SIMU.tv: Hatimaye serikali yatangaza eneo maalumu la ujenzi wa viwanda vya kuzalisha bidhaa zitakazouzwa nje ya nchi;https://youtu.be/bLU1q8ZeymE
SIMU.tv: Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Mhe. John Mongela amtaka mkandarasi anayejenga barabara ya Airport kukamilisha ujenzi huo haraka;https://youtu.be/2YvzDMgANbs
SIMU.tv: Serikali yasema muswada wa sheria ya huduma kwa vyombo vya habari utaanza upya na kuwashirikisha wanahabari;https://youtu.be/amVnnau0s34
SIMU.tv: Serikali mkoani Mbeya yaingilia kati mgogoro ulioibuka biana ya wafanyakazi na mliki wa kiwanda cha Marumaru kwa kushindwa kuwalipa ujira wafanyakazi wake; https://youtu.be/r6WrBn39v7U
SIMU.tv: Rais John Magufuli awataka watanzania kuungana pamoja katika kutatua changamoto zinazoikabilin sekta ya elimu nchini; https://youtu.be/Yc43si4JWAY
Regards,
Felister Joseph.
Comments