SIMU.tv: Serikali imeendelea kuwasisitiza na kuwataka watumishi wa umma kuwahudumia watanzania wote bila kujali tofauti za kidini, kikabila, kiitikadi na uwezo; https://youtu.be/TEZZ6IcRYm0
SIMU.tv: Serikali inatarajia kukamilisha mradi wa ujenzi wa umeme wa msongo wa Kilo volt 220 kutoka Makambako hadi Songea ifikapo mwezi Julai, 2017; https://youtu.be/DBNfgQdJP3c
SIMU.tv: Waziri mkuu ameagiza kuundwa kwa kamati za amani nchini huku akiyataka madhehebu ya dini kushirikiana ili kuendeleza amani nchini: https://youtu.be/gkVeclEMbmQ
SIMU.tv: Ujenzi wa barabara za ndani ni nyenzo muhimu zitakazowasaidia wananchi katika harakati zao za kujiajiri kiuchumi:https://youtu.be/wkJmZKtXDO4
SIMU.tv: Hatimaye waziri mstaafu Frederick Sumaye amechukua fomu ya kugombea nafasi ya uwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Pwani: https://youtu.be/4ZIB2KESrEw
SIMU.tv: Fahamu mengi kutoka kwa wadau wa wizara ya afya wakikujuza kuhusu ufafanuzi wa taarifa za kukatwa kwa mishahara ya madaktari wanafunzi: https://youtu.be/6fcptfzhFJQ
SIMU.tv: Yajue mambo mengi kutoka kwa naibu meya wa manispaa ya Ilala akikufahamisha kuhusu tathmini ya utendaji katika kata ya Vingunguti: https://youtu.be/bPcflcOTkMU
SIMU.tv: Vibalu vya JKT Ruvu na Ruvu Shooting vinaendelea na zoezi la kujiandaa na msimu ujao wa mashindano mbalimbali:https://youtu.be/Tw1yiaVZ05U
SIMU.tv: Naibu waziri wa michezo amewataka wachezaji wa timu ya taifa ya riadha iliyoko kambini mkoani Kilimanjaro kuongeza juhudi ili waweze kushinda: https://youtu.be/LeTAJYDlNls
Regards,
Felister Joseph.
Comments