ZIARA YA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA RUANGWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha  Matambalale  katika jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa Julai  15, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
RUA01Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha  Matambalale  katika jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa Julai  15, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
RUA1Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wazee wa kijiji  cha Chunyu  kabla ya kuwasalimia wananchi akiwa katika ziara ya jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa, Julai 15, 2016.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
RUA2Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wazee wa kijiji  cha Chunyu  kabla ya kuwasalimia wananchi akiwa katika ziara ya jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa, Julai 15, 2016.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
RUA4Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwaslimia wananchi wa kijiji cha Mihewe kabla ya kuzungumza nao akiwa katika ziara ya jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa Julai 15, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
RUA5Mke wa Waziri Mkuu,Mary Majaliwa akiwapungia wananchi wa kijiji cha Mihewe  akiwa ameambatana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  kwenye ziara ya jimbo la Ruangwa Julai 15, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.