CLEZENCIA AMEREMETA



Mwandishi wa Habari za Michezo wa Gazeti la Tanzania Daima, Clezencia Tryphone akiwa amepozi kwa picha kabla ya kufunga ndoa na Joseph Singano katika Kanisa la Mt. Nicholaus Parokia ya Kunduchi jijini Dar es Salaam  Agosti 13 2016. (Picha na Francis Dande) 
Akiwa ndani ya Gari.
Akiwa mepozi kwa picha
Tabasamu.
Akiwa na furaha.
 Kuingia Kanisani.
Maharusi wakiingia kanisani.
Ibada ikiendelea.
 Joseph Singano akimvisha pete mke wake.
 Clezencia Tryphone akimvisha pete mume wake. 
Clezencia Tryphone akiibusu pete baada ya kumvalisha.
Mwandishi wa Habari za Michezo wa Gazeti la Tanzania Daima, Clezencia Tryphone akiwa na furaha baada ya kufunga ndoa na Joseph Singano katika Kanisa la Mt. Nicholaus Parokia ya Kunduchi jijini Dar es Salaam.
 Joseph akisaini cheti cha ndoa.
 Clezencia akisaini cheti cha ndoa.
 Wakipokea cheti cha ndoa.
 Wakionyesha
 Wakitoka kwa furaha.
 Pongezi
Wakipita juu ya khanga wakati wakitoka kanisani.  

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU