DOOO KWELI KAZI YA UPIGAJI PICHA ZA HABARI NI KIBOKO!!!!!

 Mmiliki wa Blogu ya Kamanda wa Matukio, ambaye pia ni Mpiga Picha Mkuu wa Gazeti la Jamb o Leo, Richard Mwaikenda, akiwajibika kupata matukio wakati wa mechi ya Yanga na Bejaia ya Algeria ya kuwania Kombe la Shirikisho Afrika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jumamosi iliyopita.
 Mmiliki wa K-VIS Blog, Khalfan Said akiwa makini kupata tukio la picha wakati wa mechi ya Yanga na Bejaia ya Algeria kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mpiga Picha wa Michuzi Media Group, Othman Michuzi akijipinda kupiga picha za mechi hiyo ya Yanga na Bejaia.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*