SIMU.TV: Mwenyekiti wa CCM Taifa Dr John Magufuli, amesema atawatumikia watanzania wote bila kujali itikadi za vyama vyao ili kuiletea nchi maendeleo kwa kasi; https://youtu.be/0VkZeVkqlAU
SIMU.TV: Wakazi wa vijiji vinavyopakana na mto Kagera katika wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera, wameiomba serikali kuingilia kati katika kutafuta amani ya wananchi wanaoishi kando ya mto huo; https://youtu.be/EQb4fNhWiWM
SIMU.TV: Wakazi wa kijiji cha Chakama katika wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, wameelezea masikitiko yao ya kukosa huduma za kijamii toka kupatikana kwa uhuru; https://youtu.be/t1wBjZjHl7c
SIMU.TV: Makamu wa Rais Samia Suluhu amesema, serikali imedhamiria kuwapatia miradi mbalimbali wahandisi wazawa ili waweze kuendeleza ujuzi wao; https://youtu.be/IuXd2a6pvBo
SIMU.TV: Waziri wa ujenzi, mawasiliano na uchukuzi Prof Makame Mbarawa amesema, serikali inajitahidi kukarabati kwa uharaka kamera zilizoko eneo la ukaguzi ili kuimarisha usalama bandarini hapo; https://youtu.be/4aSXvNikE8k
SIMU.TV: Baadhi ya wakazi wa mji wa Mombasa nchini Kenya, wanavutiwa na sera pamoja na utendaji kazi wa rais Magufuli na kuwataka viongozi wengine barani Afrika kuiga kutoka kwake; https://youtu.be/neYdtXFSSqE
SIMU.TV: Serikali imeziagiza halmashauri za wilaya mkoani Ruvuma kuanzishwa kwa vikundi vya ushirika ili kurahisisha utoaji wa mikopo; https://youtu.be/71eCdfDNbsY
SIMU.TV: Wizara ya ujenzi. mawasiliano na uchukuzi imesema, serikali ya Tanzania bado ina uhitaji mkubwa wa wataalamu hususani katika sekta ya usafirishaji; https://youtu.be/A-thZYVsv-g
SIMU.TV: Kampuni za Bima nchini, zimetakiwa kuzingatia miongozo ya utendaji kazi wao ili kuepuka migogoro isiyokuwa na sababu za msingi; https://youtu.be/Alfu9IGcBck
SIMU.TV: Naibu waziri wa mambo ya ndani nchini Hamad Msauni, amezindua rasmi mashindano ya mpinga cup yenye lengo la kutoa elimu kwa wananchi juu ya usalama barabarani; https://youtu.be/0QPbeE4Tc1U
SIMU.TV: Wawakilishi pekee wa mashindano ya kimataifa nchini timu ya soka ya Yanga, inatarajia kujitupa uwanjani siku ya kesho kurudiana na timu ya Mo Bejaia katika kombe la shirikisho barani Afrika; https://youtu.be/o-QRM_oqBcY
SIMU.TV: Timu ya majeshi ya mchezo wa mikono ya Tanzania imefanikiwa kuifunga timu ya mchezo huo kutoka Uganda katika mashindano yanayoendelea nchini Rwanda; https://youtu.be/btI8ETVai-U
Comments