HABARI MPASUKOOOOO!!!!!! MZEE ABOUD JUMBE AFARIKI DUNIA

Habari za kusikitisha zilizotufikia hivi punde ni kwamba, Rais wa Awamu ya  Pili wa Zanzibar, Aboud Jumbe Mwinyi amefariki Dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Mauti yamempata mchana leo nyumbani kwake Mji Mwema Kigamboni, Dar es Salaam.

Mtandao huu utaendelea kuwaletea muendelezo wa taarifa za msiba huo kadri tutakavyokuwa tunapata.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.