MAJALIWA AFUNGUA MAONYESHO YA NANENANE MOROROGORO

NAN1Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa akisikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Damian Lubuva wakati alipotembelea Banda la Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika Monyesho ya Wakulima Nane  mjini Morogoro Agosti 1, 2016,    Kushoto ni mkewe Mary. ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
NAN2Waziri Mkuu, Kassim Majliwa na Mkewe Mary (kulia kwake)wakitazama kilimo cha mbogamboga kwa mtindo wa kilimo kichuguu  wakati walipotembelea banda la Chuo Kikuucha Kilimo cha Sokoine (SUA) kwenye maonyeshoya Nanenane mjini Morogoro Agosti 1, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
NAN3Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakitazama viatu vilivyotengenezwa katika gereza la Karanga  mkoani Kilimanjaro wakati alipotembelea  banda la Magereza katika  maonyesho ya wakulima Nanenane mjini Morogoroo Agosti 1, 2016, kulia ni  Mratibu wa Magereza wa maonyesho hayo na Mkuu wa Gereza la  Mtego wa Simba, Oman Msekwa. (Picha  na Ofisi ya Waziri Mkuu)
NAN4Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na mkewe Mary (Kulia kwake) wakatazama bwawa la samaki  na banda la kufugia  bata  wakati alipotembelea banda la Magereza katika monyesho ya  wakulima Nanenane mjini Morogoro Agosti 1, 2016. (Picha na Ofisi ya waziri Mkuu)
NAN5Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa na Mkewe Mary wakitazama mboga zilizokaushwa na mtambo wa kukaushia mboga hizo  katika  katika maonyesho ya wakulima Nanene nane  mjini Morogoro Agosti 1, 2016. (Picha na Ofisi a waziri Mkuu)
NAN6Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizundua Banda la Maonyesho la wilaya ya  Temeke  kwenye maonyesho ya wakulima Nanenane mjini Morogoro Agosti 1, 2016. Kushoto ni mkewe Mary. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
NAN7Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizundua Banda la Maonyesho la wilaya ya  Temeke  kwenye maonyesho ya wakulima Nanenane mjini Morogoro Agosti 1, 2016. Kulia kwake ni mkewe Mary  na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam , Paul Makonda. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
NAN8Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama bidha mbalimbali  zinazotokana na zao la mronge zikiwema, dawa, mafuta na sabuni wakati alipoembelea meza ya Bibi Salome Kaiza   (kulia) kwenye banda la wilaya ya Tameke katika  maonyesho ya wakulima Nanenane mjini Morogoro, Agosti, 1, 2016.  Kulia kwake ni Mkewe Mary. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
NAN9Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakitazama matikiti maji wakati walipotembelea meza ya Bwana Diocresty Theonesy kwenye banda la wilaya ya Temeke katika maonyesho ya wakulima Nanenane mjini Morogoro Agost 1, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
NAN11Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary wakipokezana  tikiti maji wakiwa kwenye meza ya Bwana  Diocresty Theonesy kwenye banda la Wilaya ya Temeke katika Maonyesho ya wakulima Nanenane mjini Morogoro Agost 1, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
NAN12 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakikagua mtama uliopandwa kwenye eneo la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika maonyesho ya wakulima Nanenane mjini Morogoro Agost 1, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI