MBUNGE WA MBINGA MJINI MAPUNDA AAHIDI KUKARABATI NYUMBA YA KUISHI ASKARI WAGENI

 Mbunge wa Jimbo la Mbinga Mjini, Sixtus Mapunda (katikati) akiwa na maofisa wa Polisi wilaya ya Mbinga alipotembelea leo makao makuu ya Polisi Wilaya Mbinga na kupokelewa na OCD, SSP Ramia Mganga. Amezisikiliza kero zao na kuahidi kushirikiana na wenzake kuezeka nyumba ya Polisi wageni na kuanza mchakato wa kujenga bwalo la Polisi Mbinga.

 Askari wakiimba wimbo wa utii na uaminifu Kwa nchi
 OCD, SSP Ramia Mganga akiniongoza kwenda kuiangalia nyumba ya askari wageni wanapoishi kabla ya kupata makazi ya kudumu.
Mbunge wa Jimbo la Mbinga Mjini, Sixtus Mapunda (kulia) akiangalia nyumba ya askari wageni ambayo ambayo ameahidi  tutashirikiana nao kuikarabati.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.